Skip to main content

Al-Shabaab wakaribia kuipoteza Kismayo

Wanajeshi wa Ethiopia karibu na mji wa Kismayo.
Jeshi la Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) pamoja na Jeshi la Kenya wamethibitisha kupambana na wanamgambo wa al-Shabaab ndani ya mji wa bandari wa Kismayo, wakidai kukaribia kuuchukua mji huo muhimu kimkakati.
"Lengo la AMISOM ni kuwakomboa watu wa Kismayo na kuwawezesha kuendelea na maisha yao kwa amani, utulivu na usalama. Operesheni zetu zinaendelea kulenga shabaha maalum za al-Shabaab mjini Kismayo," alisema Kamanda Andrew Gutti wa AMISOM, akiwataka wapiganaji wote wa al-Shabaab walio ndani ya Kismayo kuweka chini silaha zao.
Katika hatua nyengine, Jeshi la Kenya limesema kwamba wapiganaji wake wamelichukua eneo la kusini ya Kismayo, ngome ya mwisho ya kundi la al-Shabaab.
Msemaji wa Jeshi hilo, Cyrus Oguna, aliliambia shirika la habari mapema leo kwamba wanajeshi wa Kenya walikumbana na upinzani mdogo wakati wa kuliteka eneo hilo.
Al-Shabaab, wakaazi wa Kismayo wakanusha
Hata hivyo, wakaazi wa huko pamoja na wanamgambo wa al-Shabaab wamekanusha taarifa hizo, wakisema kwamba ndio kwanza wanajeshi wa Kenya walikuwa kwenye viunga vya mbali na Kismayo, ambako wamekuwako kwa zaidi ya siku nne sasa.

Comments

Popular posts from this blog

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...