Skip to main content

Wadau wa The blue Point Iliyopo Kinyerezi J'Pili Watakutana Kula Nyamachomaa

.


Kama kawaida kama Dawa babuu wadau wa The Blue Point  inayo husika na bango hilo hapojuu, watakutana kula bata  kuanzia 
saa nane mchana sikuya jumapili , huku wakitazama mpira katika eneo hilo la  The Blue Point  lililopo Kinyerezi Jijini Dar es  Salaam.

Kwa mujibu wa meneja masoko wa The Blue Point amesema kuwa nikawaida iliyowekwa 
kwa wadau kukutana kila jumaili ya mwishoni mwa mwezi kushereheka ama kula bata kila.
Haya sasa wadau J'pili hii sindio hiyo ya Sept 23.

Comments