Skip to main content

Vyuo vikuu wampigia Makamba debe la urais..;

makamba_cd43e.jpg
Waazimia kuunda timu ambayo itamshawishi January Makamba kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Morogoro. Viongozi wa Vyuo Vikuu 21 nchini wameazimia kwa kauli moja kuunda timu ndogo itakayokwenda kumshawishi Mbunge wa Bumbuli na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe tawi la Mbeya, Theonest Theophil alisema hilo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa katika mkutano wa siku mbili na kuwashirikisha marais, makamu wa rais, mawaziri wakuu na maspika wa vyuo 21 nchini.


Theophil alisema mkutano huo uliyapigia kura majina matatu yakiwamo ya wabunge wengine wawili vijana; John Mnyika na Zitto Kabwe na kwamba Makamba alipitishwa kuwa chaguo lao baada ya kupata kura 70 kati ya 105 zilizopigwa. Alisema Zitto alipata kura 20 na Mnyika kura tisa, huku kura tisa zikiharibika.
Alisema viongozi hao wamepanga kutembea nchi nzima na kuwashawishi Watanzania kumuunga mkono Makamba endapo ataafiki kuwania nafasi hiyo ya urais, huku wakidai kwamba wamechoshwa na viongozi wenye visasi na uadui ambao wamekuwa wakitumia muda mwingi kulumbana na kupambana badala ya kuwatumikia wananchi.
Theophil alisema mkutano huo ulilenga kujadili mustakabali wa nchi katika masuala ya ubora wa elimu na vihatarishi vya amani ambavyo vinatokana na chuki za kidini, siasa na visasi. Pia walijadili tatizo la ajira kwa vijana, ukuaji wa uchumi na mchakato wa Katiba Mpya ambao alisema hivi sasa ni kama umetekwa na ushabiki wa kisiasa.
Theophili alisema walibaini kwamba ili kukabiliana na changamoto zilizopo lazima nchi iwe na uongozi thabiti, hivyo walimchagua Makamba kama mmoja wa viongozi wenye sifa za kushika wadhifa wa urais kwa kuzingatia sifa alizonazo.
Alizitaja baadhi kuwa ni kuonyesha uwezo na ujasiri katika nafasi za uongozi alizowahi kushika na uadilifu, kwani hajawahi kuhusishwa na vitendo vya rushwa na ufisadi katika uongozi wake.
Kwa upande wake, Said Ngolola kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alisema tatizo la mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu limekuwa likiathiri mfumo wa elimu ya juu nchini, kutokana na kushindwa kwa waliopewa dhamana ya kusimamia suala hilo hali ambayo imekuwa ikileta migogoro isiyoisha..
Mkutano wa viongozi hao uliandaliwa na kufadhiliwa na asasi isiyokuwa ya kiserikali ya FPID inayojihusisha na mapambano dhidi ya maradhi, ujinga na umaskini yenye makao yake makuu Dar es Salaam.
Katibu wa asasi hiyo, Frances Ndunguru alisema asasi hiyo haina uhusiano wowote na wanasiasa, bali lengo ni kuwezesha makundi mbalimbali ya kijamii kukutana na kujadili masuala yenye masilahi kwa nchi.
CHANZO: mwananchi.co.tz

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...