Skip to main content

Vyuo vikuu wampigia Makamba debe la urais..;

makamba_cd43e.jpg
Waazimia kuunda timu ambayo itamshawishi January Makamba kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Morogoro. Viongozi wa Vyuo Vikuu 21 nchini wameazimia kwa kauli moja kuunda timu ndogo itakayokwenda kumshawishi Mbunge wa Bumbuli na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe tawi la Mbeya, Theonest Theophil alisema hilo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa katika mkutano wa siku mbili na kuwashirikisha marais, makamu wa rais, mawaziri wakuu na maspika wa vyuo 21 nchini.


Theophil alisema mkutano huo uliyapigia kura majina matatu yakiwamo ya wabunge wengine wawili vijana; John Mnyika na Zitto Kabwe na kwamba Makamba alipitishwa kuwa chaguo lao baada ya kupata kura 70 kati ya 105 zilizopigwa. Alisema Zitto alipata kura 20 na Mnyika kura tisa, huku kura tisa zikiharibika.
Alisema viongozi hao wamepanga kutembea nchi nzima na kuwashawishi Watanzania kumuunga mkono Makamba endapo ataafiki kuwania nafasi hiyo ya urais, huku wakidai kwamba wamechoshwa na viongozi wenye visasi na uadui ambao wamekuwa wakitumia muda mwingi kulumbana na kupambana badala ya kuwatumikia wananchi.
Theophil alisema mkutano huo ulilenga kujadili mustakabali wa nchi katika masuala ya ubora wa elimu na vihatarishi vya amani ambavyo vinatokana na chuki za kidini, siasa na visasi. Pia walijadili tatizo la ajira kwa vijana, ukuaji wa uchumi na mchakato wa Katiba Mpya ambao alisema hivi sasa ni kama umetekwa na ushabiki wa kisiasa.
Theophili alisema walibaini kwamba ili kukabiliana na changamoto zilizopo lazima nchi iwe na uongozi thabiti, hivyo walimchagua Makamba kama mmoja wa viongozi wenye sifa za kushika wadhifa wa urais kwa kuzingatia sifa alizonazo.
Alizitaja baadhi kuwa ni kuonyesha uwezo na ujasiri katika nafasi za uongozi alizowahi kushika na uadilifu, kwani hajawahi kuhusishwa na vitendo vya rushwa na ufisadi katika uongozi wake.
Kwa upande wake, Said Ngolola kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alisema tatizo la mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu limekuwa likiathiri mfumo wa elimu ya juu nchini, kutokana na kushindwa kwa waliopewa dhamana ya kusimamia suala hilo hali ambayo imekuwa ikileta migogoro isiyoisha..
Mkutano wa viongozi hao uliandaliwa na kufadhiliwa na asasi isiyokuwa ya kiserikali ya FPID inayojihusisha na mapambano dhidi ya maradhi, ujinga na umaskini yenye makao yake makuu Dar es Salaam.
Katibu wa asasi hiyo, Frances Ndunguru alisema asasi hiyo haina uhusiano wowote na wanasiasa, bali lengo ni kuwezesha makundi mbalimbali ya kijamii kukutana na kujadili masuala yenye masilahi kwa nchi.
CHANZO: mwananchi.co.tz

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.