Skip to main content

DIMBA LA TAIFA YANGAYAICHAPA AZAM 1-0 JANA



MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya soka ya Tanzania Bara, Yanga jana  wameonyesha nia yao ya kutetea taji hilo msimu ujao baada ya kuichapa Azam bao 1-0 katika mechi ya kuwania Ngao ya Jamii iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mechi hiyo huchezwa kila mwaka kabla ya kuanza kwa ligi kuu, ikizikutanisha bingwa wa ligi ya msimu uliopita na mshindi wa pili.

Kipigo hicho kilikuwa ni mwendelezo wa ubabe wa Yanga kwa Azam baada ya msimu uliopita kushinda mechi zote mbili za ligi kuu. Katika mechi ya kwanza, Yanga ilishinda mabao 2-0 na katika mechi ya pili ilishinda bao 1-0.

Kiungo Salum Telela aliibuka shujaa wa Yanga baada ya kuifungia bao hilo la pekee na la ushindi dakika ya pili baada ya kupokea pasi kutoka kwa Didier Kavumbagu.

Yanga ilipata pigo dakika ya 11 baada ya beki wake kisiki, Kevin Yondani kuumia kufuatia kugongana na mshambuliaji John Bocco wa Azam. Beki huyo wa zamani wa Simba alitibiwa kwa dakika kadhaa, lakini alishindwa kuendelea na mchezo, nafasi yake ikachukuliwa na Mbuyu Twite.

Yanga ilipata pigo jingine dakika ya 11 baada ya kipa wake, Ally Mustapha Barthez kuumia kufuatia kugongana na Kipre Tchetche wa Azam alipokuwa katika harakati za kuzuia mashambulizi kwenye lango lake. Nafasi yake ilichukuliwa na Deo Munishi 'Dida'

Yanga SC: Ally Mustafa ‘Barthez’/Deo Munishi ‘Dida’ , Juma Abdul, David Luhende, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kevin Yondan/Mbuyu Twite, Athumani Iddi ‘Chuji’, Simon Msuva, Salum Telela, Jerry Tegete/Hussein Javu, Didier Kavumbangu na Haruna Niyonzima.

Azam FC; Aishi Manula, Erasto Nyoni/Joackins Atudo, Waziri Salum, David Mwantika, Aggrey Morris, Himid Mao, Kipre Tchetche, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, John Bocco ‘Adebayor’/Gaudence Mwaikimba , Kipre Balou/Ibrahim Mwaipopo na Khamis Mcha.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.