Skip to main content

Kenya: Al Qaida inatayarisha shambulizi Mombasa


Polisi ya Kenya imetahadharisha kuwa kundi la kigaidi la al Qaida linajitayarisha kufanya mashambulizi katika mji wa pwani wa Mombasa katika kumbukumbu ya mauaji ya msomi wa Kiislamu Sheikh Aboud Rogo.
Taarifa ya polisi ya Kenya ambayo hadi sasa haijamtia nguvuni mtu aliyemuua msomi huyo wa Kiisalmu, imesema kuwa kundi la al Shabab linaloshirikiana na mtandano wa al Qaida, huenda linapanga kufanya mashambulizi ya kukumbuka kuuliwa msomi huyo.
Mkuu wa polisi ya kaunti ya Mombasa Robert Kitur amesema jeshi la polisi limepata taarifa za kipelelezi kuhusu tishio la shambulizi la kundi la al Shabab katika mji wa Mombasa katika kumbukumbu ya mauaji ya Sheikh Aboud Rogo. 
Kitur amesema usalama umeimarishwa zaidi katika mji wa Mombasa na kwamba polisi imezuiya maandamano ya kukumbuka tukio la kuuawa Sheikh Rogo.
Waislamu wengi wa Kenya wanaituhumi serikali ya nchi hiyo kwamba ilihusika na mauaji ya Sheikh Aboud Rogo yaliyofanyika Agousti 27 mwaka jana. Vyombo vya usalama vya Kenya hadi sasa havijamkamata mtu au watu waliofanya mauaji hayo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.