Skip to main content

Profesa DRC Amuunga Mkono Rais Kikwete;

 wamba_dia_wamba_cf7a8.jpg
Na Mwandishi Wetu
PROFESA Wamba Dia Wamba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ameunga mkono kauli ya Rais Jakaya Kikwete iliyozua mvutano kati ya Rais wa Rwanda Paul Kagame na Tanzania, na kudai kikwete yuko sahihi.
Profesa Wamba mtaalamu wa historia aliunga mkono kauli ya Rais Kikwete alipokuwa akifanya mazungumzo na baadhi ya wadau wa Mtandao wa Wanabidii waliomtembelea nyumbani kwake nchini Tanzania na kuzungumza naye masuala anuai ya Afrika.

Katika mazungumzo yake Prof. Wamba alisema Rais Kikwete yuko sahihi kwa kauli yake aliyoitoa hivi karibuni mkutanoni akimshauri Rais wa Rwanda kukaa na kuzungumza na makundi anayovutana nayo nchini kwake ya Interahamwe na FDLR ili kumaliza mvutano.
"Mi nadhani Rais Kikwete yupo sahihi kumshauri Rais Kagame kwamba wakae na kufanya mazungumzo ili kumaliza mzozo...na pia kauli hiyo hakuitoa kwa Kagame pekee bali na viongozi wengine wa nchi zikiwemo Uganda, DRC na Rwanda yenyewe, mbona hawa hawakuzua uhasama huo," alisema Prof. Dia Wamba.
Rais Kagame amekuwa akitoa kauli ya kejeli vitisho kwa Tanzania na Rais Kikwete tangu kutoka kwa kauli ya kumshauri kufanya mazungumzo na makundi wapinzani wake ya Interahamwe na FDLR.
Akizungumzia mgogoro wa DRC Profesa huyo alisema unasababishwa na hila za kimaslahi dhidi ya pande mbalimbali, yakiwemo baadhi ya mataifa ya kimagharibi hasa kwenye madini yanayopatikana eneo hilo. Akizungumzia mtanzamo wa jumla kwa nchi za Afrika kiongozi huyo alisema anashangaa kuona mambo ambayo awali yalikuwa yakipingwa dhidi ya utawala wa kikoloni yanafanywa sasa na baadhi ya viongozi wa mataifa ya kiafrika tena kwa kiwango kikubwa tofauti na awali
ilhali nchi hizo zipo huru. Aliongeza vitendo vya rushwa, ubinafsi, ubaguzi na matumizi mabaya ya rasilimali za umma bado ni changamoto kwa mataifa mengi ya Afrika na ndiyo vikwazo kwa maendeleo ya wananchi wa nchi hizo.
*Imeandaliwa na www.thehabari.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.