Skip to main content

Profesa DRC Amuunga Mkono Rais Kikwete;

 wamba_dia_wamba_cf7a8.jpg
Na Mwandishi Wetu
PROFESA Wamba Dia Wamba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ameunga mkono kauli ya Rais Jakaya Kikwete iliyozua mvutano kati ya Rais wa Rwanda Paul Kagame na Tanzania, na kudai kikwete yuko sahihi.
Profesa Wamba mtaalamu wa historia aliunga mkono kauli ya Rais Kikwete alipokuwa akifanya mazungumzo na baadhi ya wadau wa Mtandao wa Wanabidii waliomtembelea nyumbani kwake nchini Tanzania na kuzungumza naye masuala anuai ya Afrika.

Katika mazungumzo yake Prof. Wamba alisema Rais Kikwete yuko sahihi kwa kauli yake aliyoitoa hivi karibuni mkutanoni akimshauri Rais wa Rwanda kukaa na kuzungumza na makundi anayovutana nayo nchini kwake ya Interahamwe na FDLR ili kumaliza mvutano.
"Mi nadhani Rais Kikwete yupo sahihi kumshauri Rais Kagame kwamba wakae na kufanya mazungumzo ili kumaliza mzozo...na pia kauli hiyo hakuitoa kwa Kagame pekee bali na viongozi wengine wa nchi zikiwemo Uganda, DRC na Rwanda yenyewe, mbona hawa hawakuzua uhasama huo," alisema Prof. Dia Wamba.
Rais Kagame amekuwa akitoa kauli ya kejeli vitisho kwa Tanzania na Rais Kikwete tangu kutoka kwa kauli ya kumshauri kufanya mazungumzo na makundi wapinzani wake ya Interahamwe na FDLR.
Akizungumzia mgogoro wa DRC Profesa huyo alisema unasababishwa na hila za kimaslahi dhidi ya pande mbalimbali, yakiwemo baadhi ya mataifa ya kimagharibi hasa kwenye madini yanayopatikana eneo hilo. Akizungumzia mtanzamo wa jumla kwa nchi za Afrika kiongozi huyo alisema anashangaa kuona mambo ambayo awali yalikuwa yakipingwa dhidi ya utawala wa kikoloni yanafanywa sasa na baadhi ya viongozi wa mataifa ya kiafrika tena kwa kiwango kikubwa tofauti na awali
ilhali nchi hizo zipo huru. Aliongeza vitendo vya rushwa, ubinafsi, ubaguzi na matumizi mabaya ya rasilimali za umma bado ni changamoto kwa mataifa mengi ya Afrika na ndiyo vikwazo kwa maendeleo ya wananchi wa nchi hizo.
*Imeandaliwa na www.thehabari.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...