Skip to main content

Profesa DRC Amuunga Mkono Rais Kikwete;

 wamba_dia_wamba_cf7a8.jpg
Na Mwandishi Wetu
PROFESA Wamba Dia Wamba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ameunga mkono kauli ya Rais Jakaya Kikwete iliyozua mvutano kati ya Rais wa Rwanda Paul Kagame na Tanzania, na kudai kikwete yuko sahihi.
Profesa Wamba mtaalamu wa historia aliunga mkono kauli ya Rais Kikwete alipokuwa akifanya mazungumzo na baadhi ya wadau wa Mtandao wa Wanabidii waliomtembelea nyumbani kwake nchini Tanzania na kuzungumza naye masuala anuai ya Afrika.

Katika mazungumzo yake Prof. Wamba alisema Rais Kikwete yuko sahihi kwa kauli yake aliyoitoa hivi karibuni mkutanoni akimshauri Rais wa Rwanda kukaa na kuzungumza na makundi anayovutana nayo nchini kwake ya Interahamwe na FDLR ili kumaliza mvutano.
"Mi nadhani Rais Kikwete yupo sahihi kumshauri Rais Kagame kwamba wakae na kufanya mazungumzo ili kumaliza mzozo...na pia kauli hiyo hakuitoa kwa Kagame pekee bali na viongozi wengine wa nchi zikiwemo Uganda, DRC na Rwanda yenyewe, mbona hawa hawakuzua uhasama huo," alisema Prof. Dia Wamba.
Rais Kagame amekuwa akitoa kauli ya kejeli vitisho kwa Tanzania na Rais Kikwete tangu kutoka kwa kauli ya kumshauri kufanya mazungumzo na makundi wapinzani wake ya Interahamwe na FDLR.
Akizungumzia mgogoro wa DRC Profesa huyo alisema unasababishwa na hila za kimaslahi dhidi ya pande mbalimbali, yakiwemo baadhi ya mataifa ya kimagharibi hasa kwenye madini yanayopatikana eneo hilo. Akizungumzia mtanzamo wa jumla kwa nchi za Afrika kiongozi huyo alisema anashangaa kuona mambo ambayo awali yalikuwa yakipingwa dhidi ya utawala wa kikoloni yanafanywa sasa na baadhi ya viongozi wa mataifa ya kiafrika tena kwa kiwango kikubwa tofauti na awali
ilhali nchi hizo zipo huru. Aliongeza vitendo vya rushwa, ubinafsi, ubaguzi na matumizi mabaya ya rasilimali za umma bado ni changamoto kwa mataifa mengi ya Afrika na ndiyo vikwazo kwa maendeleo ya wananchi wa nchi hizo.
*Imeandaliwa na www.thehabari.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...