Skip to main content

makundi zaongezeka nchini Tanzania


Na Deodatus Balile, Dar es Salaam

Mauaji ya watu yanayofanywa na mamlaka za serikali pasipo kufuata sheria pamoja na vurugu zinazohusiana na makundi na uchawi vimegharimu maisha ya mamia ya Watanzania katika kipindi cha kwanza cha 2013, kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) jijini Dar es Salaam.

Josephine Slaa, mke wa mpiga kampeni dhidi ya rushwa na mgombea urais William Slaa, anasaidiwa kuingia katika gari la polisi baada ya kupigwa na polisi waliokuwa wakipambana na ghasia wakati wa maandamano ya chama cha upinzani tarehe 5 Januari, 2011. Ripoti mpya iliyotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu imesema mapambano baina ya raia na vikosi vya usalama vya taifa yamesababisha raia 22 na maofisa polisi 8 kufariki dunia katika nusu ya kwanza ya 2013. [Stringer/AFP]

Wakati baadhi ya viashirio vinaonyesha kuboreka kwa kiasi ikilinganishwa na miezi sita ya kwanza mwaka uliopita, matokeo ya jumla ya kituo hicho yameibua wasiwasi kwamba Watanzania wanajichukulia sheria mikononi na kupuuza sheria iliyopo.

Vurugu za vikundi zilisababisha mauaji ya watu 597 katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka huu, ikiwa ni ongezeko kutoka vifo 563 kati ya Januari na Juni 2012, LHRC ilisema katika taarifa yake ya nusu mwaka iliyotolewa tarehe 29 Julai. Watu wengi kadri ya 303 waliuawa katika vurugu zilizohusiana na uchawi katika kipindi cha miezi sita ya kwanza ya 2013, ikipungua kutoka 336 katika kipindi kama hicho cha mwaka uliopita.

Katika vurugu za kuua ambazo zilitokea kipindi cha miezi sita ya mwanzo ya mwaka huu, polisi wa Tanzania, wanamgambo na vikosi vya jeshi waliwaua raia 22, ambapo raia waliwaua polisi wanane wakiwa kazini, LHRC iliripoti.

"Mwaka uliopita, watu 31 waliuawa katika mauaji yaliyofanywa na vyombo vya serikali pasipo kuzingatia sheria mwaka mzima" Mwansheria na mtafiti wa LHRC Pasience Mlowe aliiambia Sabahi. "Miezi sita ya mwaka huu, tayari watu 22 wameshauawa. Kiwango kinaidaiwa kuongezeka."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.