Skip to main content

makundi zaongezeka nchini Tanzania


Na Deodatus Balile, Dar es Salaam

Mauaji ya watu yanayofanywa na mamlaka za serikali pasipo kufuata sheria pamoja na vurugu zinazohusiana na makundi na uchawi vimegharimu maisha ya mamia ya Watanzania katika kipindi cha kwanza cha 2013, kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) jijini Dar es Salaam.

Josephine Slaa, mke wa mpiga kampeni dhidi ya rushwa na mgombea urais William Slaa, anasaidiwa kuingia katika gari la polisi baada ya kupigwa na polisi waliokuwa wakipambana na ghasia wakati wa maandamano ya chama cha upinzani tarehe 5 Januari, 2011. Ripoti mpya iliyotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu imesema mapambano baina ya raia na vikosi vya usalama vya taifa yamesababisha raia 22 na maofisa polisi 8 kufariki dunia katika nusu ya kwanza ya 2013. [Stringer/AFP]

Wakati baadhi ya viashirio vinaonyesha kuboreka kwa kiasi ikilinganishwa na miezi sita ya kwanza mwaka uliopita, matokeo ya jumla ya kituo hicho yameibua wasiwasi kwamba Watanzania wanajichukulia sheria mikononi na kupuuza sheria iliyopo.

Vurugu za vikundi zilisababisha mauaji ya watu 597 katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka huu, ikiwa ni ongezeko kutoka vifo 563 kati ya Januari na Juni 2012, LHRC ilisema katika taarifa yake ya nusu mwaka iliyotolewa tarehe 29 Julai. Watu wengi kadri ya 303 waliuawa katika vurugu zilizohusiana na uchawi katika kipindi cha miezi sita ya kwanza ya 2013, ikipungua kutoka 336 katika kipindi kama hicho cha mwaka uliopita.

Katika vurugu za kuua ambazo zilitokea kipindi cha miezi sita ya mwanzo ya mwaka huu, polisi wa Tanzania, wanamgambo na vikosi vya jeshi waliwaua raia 22, ambapo raia waliwaua polisi wanane wakiwa kazini, LHRC iliripoti.

"Mwaka uliopita, watu 31 waliuawa katika mauaji yaliyofanywa na vyombo vya serikali pasipo kuzingatia sheria mwaka mzima" Mwansheria na mtafiti wa LHRC Pasience Mlowe aliiambia Sabahi. "Miezi sita ya mwaka huu, tayari watu 22 wameshauawa. Kiwango kinaidaiwa kuongezeka."

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...