Skip to main content

KLINIKI YA KIKAPU YA HASHEEM THABITI YAFUTWA NA TBF

KLINIKI ya mchezo wa kikapu ya Hasheem Thabeet imefutwa kwa mwaka huu na Chama cha Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF),kutokana na mchezaji huyo wa NBA kuitwa na klabu yake huko Marekani kwenda kwenye ratiba maalum.
 
 
 
Akizungumza Dar es Salaam jana Katibu Msaidizi wa TBF Michael Maluwe, alisema kliniki hiyo imefutwa kwa mwaka huu kwa sababu Hasheem Thabeet ameitwa na klabu yake kwenye ratiba yao maalum. 
 
 
"Tumepata taarifa kutoka kwa uongozi wa Hasheem Thabeet kuwa anatakiwa kurudi nchini kwao mara moja kwenda kuendelea na ratiba yao ya kuhudhuria katika ligi kuu,"alisema Maluwe.
Maluwe alisema baada ya kumaliza ratiba hiyo ataelekea Afrika Kusini kuhudhuria Mafunzo ya Vijana wa Afrika maarufu kama Basketball Without Border (BWB).
Al i s ema ma f u n z o h a y o anayokwenda kuhudhuria yapo chini ya NBA Afrika na wachezaji wote watakaocheza katika ligi kuu ya NBA wanahitajika.
Maluwe aliongeza kuwa kliniki hiyo ilipangwa kufanyika jijini Arusha, ambapo mikoa zaidi ya mitano ilitakiwa kushiriki ikiwemo Dar es Salaam,Kilimanjaro,Dodoma na visiwa vya Zanzibar.
Kliniki hiyo ambayo hufanyika kila mwaka, mwaka huu ilipangwa kufanyika Agosti 16 hadi 18 jijini Arusha na kushirikisha vijana wasiopungua 200 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...