Skip to main content

Abaka, Awalawiti Watoto Akiwemo wa Kwake

Na Joseph Ngilisho, Arusha
KATIKA hali isiyo ya kawaida baba mwenye familia, mke na watoto, David Samwel (21) mkaazi wa Moivaro, Nkwandua wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, anadaiwa kuwabaka na kuwalawiti watoto wanne wa kike wenye umri wa miaka 6 na 7, akiwemo mtoto wake wa kumzaa kwa nyakati tofauti chumbani kwake.
Mtuhumiwa alitenda unyama huo kwa kumbaka pia mtoto wa mama mwenye nyumba wakati mkewe, akiwa ameenda kwenye biashara zake za kuuza mboga na kuwaacha watoto hao wakicheza nyumbani.
Akisimulia mkasa huo, mama mwenye nyumba, (jina tunalihifadhi) mwenye umri wa miaka 30 alisema, aligundua mwanae (jina limehifadhiwa) amebakwa wakati alipotaka kumkosha.
Alisema baada ya kumwita mtoto huyo, alikimbia na kwenda kujificha chumbani na alipomfuata aligoma kuvua nguo hali iliyomlazimu kumchapa ndipo alipomweleza alikuwa amefanyiwa mchezo mbaya na mtuhumiwa.

Baada ya kumuangalia sehemu za siri aligundua alikuwa ameharibika vibaya na sehemu zake za siri zimekuwa kama za mtu mzima, ndipo alipoamua kutoa taarifa kwa majirani ambao walifika na kuanza kumhoji mtoto huyo.
Mtoto huyo alisimulia jinsi mtuhumiwa alivyokuwa akitekeleza unyama huo kwa kuwabaka pia watoto wengine wa majirani ambapo kitendo hicho amekuwa akikitekeleza baada ya kuwapaka mafuta ya alizeti sehemu zao za siri (mbele na nyuma) na kisha kuwaingilia.
Hata hivyo, mtoto wa mama huyo aliwataja wenzake wanaofanyiwa mchezo huo na walipofuatwa walikiri na baada ya kuwapeleka hospitali ya wilaya Tengeru daktari aliewapima alithitisha wameingiliwa sehemu zote ila alisema hawakuambukizwa maradhi.
Watu wenye hasira walimshambulia mtuhumiwa huyo na kisha kumfikisha kituo cha polisi Tengeru.
Akisimulia jinsi walivyokuwa wakitendwa, mmoja wa watoto hao (jina linahifadhiwa) alisema mara kwa mara mtuhumiwa alikuwa akimtuma mtoto wake wa miaka 7 awaite wenzake na wanapofika chumbani huwaamuru kuvua nguo zote na kuanza kuwaingilia mmoja baada ya mwenzake.
“Tukifika chumbani hutuambia tuvue nguo halafu anatupaka mafuta ya alizeti na kutufanya tabia mbaya, mimi na mwenzangu (akamtaja jina),tulikuwa tunasikia maumivu lakini alituambia mbona Fulani (akataja jina la mtoto wake) hasikii maumivu,”alisema.
Alisema baada ya kumaliza huwanunulia pipi na kuwapa shilingi 200 huku akiwataka wasitoe siri.
“Mara ya kwanza tulipofika chumbani kwake tuliogopa ila alimleta mtoto wake na kumfanya tabia mbaya mbele yetu huku akituambia tuangalie jinsi ambavyo mwenzao (mtoto wake) hasikii maumivu,” alisema mtoto huyo.
Naye mwenyekiti wa serikali za mitaa, Moivaro, Josephat Laizer pamoja na kukerwa na tukio hilo alisema kama watamuachia, atawahamasisha wanachukua sheria mkononi kumwadabisha mtuhumiwa.
Kwa upande wa mke wa mtuhumiwa, alisikitishwa na kitendo cha mumewe kumwingilia na kumnajisi mtoto wao wa kuzaa na kusema huenda mumewe ana pepo la ngono.
Alisema alikuwa akimpa unyumba kama kawaida tena hata mara tatu kwa usiku mmoja.
Mtuhumiwa anatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika.
Chanzo: ZanziNews

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...