Skip to main content

Abaka, Awalawiti Watoto Akiwemo wa Kwake

Na Joseph Ngilisho, Arusha
KATIKA hali isiyo ya kawaida baba mwenye familia, mke na watoto, David Samwel (21) mkaazi wa Moivaro, Nkwandua wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, anadaiwa kuwabaka na kuwalawiti watoto wanne wa kike wenye umri wa miaka 6 na 7, akiwemo mtoto wake wa kumzaa kwa nyakati tofauti chumbani kwake.
Mtuhumiwa alitenda unyama huo kwa kumbaka pia mtoto wa mama mwenye nyumba wakati mkewe, akiwa ameenda kwenye biashara zake za kuuza mboga na kuwaacha watoto hao wakicheza nyumbani.
Akisimulia mkasa huo, mama mwenye nyumba, (jina tunalihifadhi) mwenye umri wa miaka 30 alisema, aligundua mwanae (jina limehifadhiwa) amebakwa wakati alipotaka kumkosha.
Alisema baada ya kumwita mtoto huyo, alikimbia na kwenda kujificha chumbani na alipomfuata aligoma kuvua nguo hali iliyomlazimu kumchapa ndipo alipomweleza alikuwa amefanyiwa mchezo mbaya na mtuhumiwa.

Baada ya kumuangalia sehemu za siri aligundua alikuwa ameharibika vibaya na sehemu zake za siri zimekuwa kama za mtu mzima, ndipo alipoamua kutoa taarifa kwa majirani ambao walifika na kuanza kumhoji mtoto huyo.
Mtoto huyo alisimulia jinsi mtuhumiwa alivyokuwa akitekeleza unyama huo kwa kuwabaka pia watoto wengine wa majirani ambapo kitendo hicho amekuwa akikitekeleza baada ya kuwapaka mafuta ya alizeti sehemu zao za siri (mbele na nyuma) na kisha kuwaingilia.
Hata hivyo, mtoto wa mama huyo aliwataja wenzake wanaofanyiwa mchezo huo na walipofuatwa walikiri na baada ya kuwapeleka hospitali ya wilaya Tengeru daktari aliewapima alithitisha wameingiliwa sehemu zote ila alisema hawakuambukizwa maradhi.
Watu wenye hasira walimshambulia mtuhumiwa huyo na kisha kumfikisha kituo cha polisi Tengeru.
Akisimulia jinsi walivyokuwa wakitendwa, mmoja wa watoto hao (jina linahifadhiwa) alisema mara kwa mara mtuhumiwa alikuwa akimtuma mtoto wake wa miaka 7 awaite wenzake na wanapofika chumbani huwaamuru kuvua nguo zote na kuanza kuwaingilia mmoja baada ya mwenzake.
“Tukifika chumbani hutuambia tuvue nguo halafu anatupaka mafuta ya alizeti na kutufanya tabia mbaya, mimi na mwenzangu (akamtaja jina),tulikuwa tunasikia maumivu lakini alituambia mbona Fulani (akataja jina la mtoto wake) hasikii maumivu,”alisema.
Alisema baada ya kumaliza huwanunulia pipi na kuwapa shilingi 200 huku akiwataka wasitoe siri.
“Mara ya kwanza tulipofika chumbani kwake tuliogopa ila alimleta mtoto wake na kumfanya tabia mbaya mbele yetu huku akituambia tuangalie jinsi ambavyo mwenzao (mtoto wake) hasikii maumivu,” alisema mtoto huyo.
Naye mwenyekiti wa serikali za mitaa, Moivaro, Josephat Laizer pamoja na kukerwa na tukio hilo alisema kama watamuachia, atawahamasisha wanachukua sheria mkononi kumwadabisha mtuhumiwa.
Kwa upande wa mke wa mtuhumiwa, alisikitishwa na kitendo cha mumewe kumwingilia na kumnajisi mtoto wao wa kuzaa na kusema huenda mumewe ana pepo la ngono.
Alisema alikuwa akimpa unyumba kama kawaida tena hata mara tatu kwa usiku mmoja.
Mtuhumiwa anatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika.
Chanzo: ZanziNews

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.