Skip to main content

Msome Shilole

MSANII nyota kwenye tasnia ya filamu
na muziki Zuwena Mohamed 'Shilole'
baada ya kusemwa sana kutoweza kufanya (colabo) na msanii nguli wa Marekani
Jenifer Lopez 'J LO' sasa afunguka kurudi
tena kutimiza adhima yake.


Akizungumza Dar es Salaam Shilole alisema kuwa  baa ya shoo za fieta zinazotarajia
kuanza kwa  mwaka huu mapema hivikaribuni ataondoka kurudi Marekani kufanya
ngoma matata sana na mkali hiyo.

"Watu wanasema sana kuhusu mimi , mara Shilole hivi mara vile sasa wasubiri ngoma
nitakayofanya mimi na J- Lo mwaka huu huu lazima wafunge midomo yao,"alisema Shilole.

kuna habari ambazo zilijili kipindi Shilole aliporudi na kutangaza ujio wa (Colabo)
hiyo na gafla alijitokeza nyota wa zamani wa maigizo nchini akitokea Kaole ambaye kwa
sasa ni mtangazaji wa DTV Christina John 'Sintah'na kusema Shilole anaota ndoto
za mchana za kufanya (Colabo) na msanii huyo.

Nyota huyo alisema kuwa licha ya kurudi tena Marekani lakini
anaziara ya kwenda kutembelea nchini nne zingine za barani Ulaya.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.