Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu
wa Rais (Mazingira) Dk Terezya Huvisa, amemtuhumu Katibu Mkuu wa wizara
moja (anahifadhiwa) kwa kumkingia kifua Robert Mugishagwe anayemiliki
isivyo halali kiwanja namba 2002 kilichoko Kawe Beach, jijini Dar es
Salaam.Akijibu maswali ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi,
Maliasili na Mazingira iliyotembelea Baraza la Taifa la Mazingira jana,
Dk Huvisa alisema hamwogopi mtu yeyote kwa sababu anasimamia sheria.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments