Skip to main content

Waziri ‘amtolea uvivu’ katibu mkuu wa wizara



hovisa_19091.jpg
Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dk Terezya Huvisa, amemtuhumu Katibu Mkuu wa wizara moja (anahifadhiwa) kwa kumkingia kifua Robert Mugishagwe anayemiliki isivyo halali kiwanja namba 2002 kilichoko Kawe Beach, jijini Dar es Salaam.Akijibu maswali ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira iliyotembelea Baraza la Taifa la Mazingira jana, Dk Huvisa alisema hamwogopi mtu yeyote kwa sababu anasimamia sheria.

Comments