Skip to main content

Leiwing: kapombe anapoteza muda as Cannes, hapaswi kucheza daraja la nne

kapombe 5f8a6
KIRAKA wa Tanzania, Shomari Kapombe ametambulishwa juzi Ahamisi kwenye mazoezi ya klabu ya AS Cannes ya Ufaransa, lakini Kocha Mfaransa aliyetimuliwa Simba, Patrick Liewig amesema timu hiyo haina hadhi ya Kapombe.
Hata hivyo, Simba imemjibu Liewig kuwa asiwe na wasiwasi kwani tayari Kapombe anatakiwa na timu ya daraja la pili ya Ufaransa.
Liewig aliiambia Mwanaspoti kwa simu kutoka jijini Paris, Ufaransa jana Ijumaa kwamba klabu hiyo ya daraja la nne ni ya hadhi ya chini sana kulinganisha na ubora wa Kapombe ambaye alipaswa kuchezea madaraja ya juu hivyo Simba imempeleka sehemu anakokwenda kupoteza muda wake.
Liewig alisema; "Naijua Cannes ni timu ndogo sana, inashiriki daraja la nne ni ya chini sana kulinganisha na ubora wa Kapombe niliyemfundisha hapo Simba. Yeye hadhi yake ni daraja la kwanza au la pili, na zipo klabu nyingi tu ambazo angeweza kupata nafasi."
"Simba na huyo wakala wanampotezea Kapombe muda wake, wachezaji wakubwa wa Tanzania wanapaswa kukaa chini na kujipanga. Klabu zikae na watu wa maana zifanye mambo kwa kufuata weledi, mimi najuana na watu wengi sana kuanzia makocha na viongozi ambao naweza kuwaunganishia wachezaji wa Tanzania na wakacheza soka daraja la kwanza.
"Mchezaji mwenyewe ajipange anifuate aonyeshe nia ya kweli mimi nitashirikiana na viongozi nitamsaidia, lakini huko alikokwenda Kapombe sijapaafiki," alisisitiza kocha huyo ambaye bado hajapata dili mpya.
Katika klabu hiyo, Kapombe atajumuika na 'Waswahili' wanne kutoka Burundi, Uganda, Senegal na Togo.
Kapombe atakuwa katika klabu hiyo na iwapo atauzwa ndio Simba itapata mgawo wake.
Hata hivyo, Mwenyekiti wa Usajili wa Simba, Zacharia Hanspoppe aliliambia Mwanaspoti jana Ijumaa kuwa hawana wasiwasi na suala hilo kwani tayari Kapombe ameivutia timu ya daraja la pili.
"Sisi tunajiamini na mambo tunayoyafanya, hapo nazungumza na wewe nilikuwa napata mawasiliano kutoka Ufaransa kuwa kuna timu ya daraja la pili inamhitaji Kapombe. Hao AS Cannes wakimuuza Kapombe sisi tunapata asilimia 40," alisema Hanspoppe. Chanzo: mwanaspoti

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.