Skip to main content

Waasi takribani 62 wauwawa na wanajeshi wa serikali nchini Syria


Waasi wauwawa huko Damascus
62 Syria rebels dead in army ambush near Damascus
Na Sabina Chrispine Nabigambo
Wanajeshi wa serikali ya Syria wamewashambulia na kuwaua takribani waasi 62 katika shambulizi la kushtukiza leo Jumatano karibu na mji mkuu Damascus, Sirika la uangalizi wa haki za binadamu nchinih umo limearifu.
Jeshi la Syria limesema kuwa waliouwawa wengi wao wakiwa vijana ni wafuasi wa kundi la wanajihad la Al Nusra, huku nane wengine wakiwa hawajulikani walipo baada ya shambulio hilo lililotekelezwa majira ya alfajiri karibu na mji wa viwanda wa Adra Kaskazini Mashariki mwa mji mkuu.
Chanzo kutoka jeshi la serikali kimekaririwa na shirika la habari la taifa SANA kikieleza kuwa jeshi limefanya shambulio la kushtukiza kwenye kundi la magaidi wa kundi la Al Nusra ambao walikuwa wakijaribu kupenyeza Mashariki mwa Ghuta na kushambulia kituo cha kijeshi.
Chanzo hicho kimeongeza kuwa magaidi wote wameuwawa na silaha zao kukamatwa ingawa idadi haijatajwa.
Mji wa Adra ulioko umbali wa kilomita 35 kutoka mji mkuu Damascus, ni njia ya kuelekea Mashariki mwa Ghuta,ukanda wa kilimo ambako idadi kubwa ya waasi wanapatikana.
Mnamo Julai 21, waasi 49 waliuwawa katika mapigano baina yao na wanajeshi watiifu kwa serikali ya rais Bashar al Assad huko Adra.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...