Skip to main content

Video pamoja na taswira za tamasha la FestAfrica 2013 MD USA


Sherehe za tamasha la FestAfrica zilizofanyika Silver Spring Maryland Siku ya Jumapili Aug 11, 2013 lililohudhuriwa na mamia ya wakazi wa DMV nchini Marekani.

Muimbaji wa South Africa Lovraine Klaasen akitumbuizi katika tamasha la FestAfrica zilizofanyika Silver Spring Maryland Siku ya Jumapili Aug 11, 2013 lililohudhuriwa na mamia ya wakazi wa DMV nchini Marekani.

Lovraine Klaasen muimbaji kutoka South Africa akitumbuizi katika tamasha la FestAfrica zilizofanyika Silver Spring Maryland Siku ya Jumapili Aug 11, 2013 lililohudhuriwa na mamia ya wakazi wa DMV nchini Marekani.

 Mamia ya wakaazi wa DMV wakiserebuka nyimbo za muimbaji Lovraine Klaasen katika tamasha la FestAfrica zilizofanyika Silver Spring Maryland Siku ya Jumapili Aug 11, 2013 lililohudhuriwa na mamia ya wakazi wa DMV nchini Marekani.

Seif Msabaha  akiwa na mhariri wa swahilivilla Abou Shatry  katika tamasha la FestAfrica zilizofanyika Down town Silver Spring Maryland 

Mwanakamati ya maanfalizi ya  FestAfrica mTanzania Nenelna akipata picha ya pamoja na Abou Shatry pamoja na DMK ndani ya tamasha la FestAfrica  2013 zilizofanyika down town Silver Spring Maryland 

Seif Msabah akiwa na Cheif wa sahilivilla pamoja na  Mdau katika usambazaji flayer za concerts ya Morgan Heritage itakayofanyika Siku ya jumamosi Aug 24, mwishoni mwa mwezi huu.

DMK, Tanzania Nenelna Sunday Shomary na mhariri wa blog ya swahilivilla Abou Shatry

Mjini Silver Spring Maryland kulivyofuria mamia ya watu kutoka sehemu mbali mbali kuja kuangalia tamasha la  FestAfrica.

Muimbaji wa South Africa Lovraine Klaasen akipata picha ya pamoja na  Mzee wa mavumbuzi in town Bruno Mazali to London, Sunday Shomari Mdada kutoka Arusha Tanzania Pamoja na Cheif wa swahilivilla Aboushatry.  

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.