Skip to main content

Polisi Kuimarisha Ulinzi Nyumba za Ibada

Na Mwandishi wetu
JESHI la Polisi limeimarisha ulinzi kwenye maeneo ya ibada, fukwe za bahari, sehemu za starehe na maeneo mengine yote yatakayokuwa na mikusanyiko mikubwa ya watu wakati wa sherehe za sikukuu ya Eid el Fitri.
Taarifa ya polisi iliyosainiwa na msemaji wa jeshi hilo, SSP Advera Senso, pia imewataka wananchi kuwa makini na kuchukua hatua stahiki za haraka kwa kutoa taarifa pindi wanapoona viashiria vyovyote vya uhalifu.
Alisema katika taarifa hiyo kuwa uzoefu unaonesha kuwa baadhi ya watu hutumia kipindi cha sikukuu kama mwanya wa kufanya uhalifu kutokana na mikusanyiko watu.
Alisema polisi kwa kushirikiana na vyombo vyengine vya ulinzi limejipanga vizuri kuhakikisha wananchi wanasherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu, pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani.
Katika kuhakikisha usalama kwenye kumbi za starehe, aliwataka wamiliki wa kumbi hizo wazingatie uhalali na matumizi ya kumbi zao katika uingizaji wa watu kulingana na uwezo wa kumbi hizo, badala ya kuendekeza tamaa ya fedha kwa kujaza watu kupita kiasi.
Pia amewataka wazazi wawe makini na watoto wao na hasa disko toto, ili kuepuka ajali na matukio mengine yanayoweza kusababisha madhara.

Aliwatahadharisha wananchi kuwa makini na matapeli yanayotumia majina ya viongozi, watu maarufu na wafanyabiashara wakubwa kujipatia pesa na vitu mbalimbali.
Alisema matapeli hao wamekuwa wakitumia ujumbe mfupi wa simu za mkononi kupata taarifa za mtu binafsi hatimae mtu huyo kuibiwa.
Kuhusu agizo la Rais Kikwete la kuwataka wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kusalimisha silaha zao, Senso alisema baadhi ya watu hao tayari wameanza kusalimisha silaha hasa katika mikoa ya Kagera na Kigoma.
Kuhusu wajamiaji haramu, alisema tayari wameanza kurudi makwao na kusema hiyo ni hatua nzuri.
Alitoa wito kwa watu hao kuendelea kutekeleza agizo la serikali kabla ya operesheni kabambe kuanza itakayoendeshwa na polisi kwa kushirikiana na vyombo vyengine vya ulinzi na usalama.
Chanzo - ZanziNew

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.