Skip to main content

Polisi Kuimarisha Ulinzi Nyumba za Ibada

Na Mwandishi wetu
JESHI la Polisi limeimarisha ulinzi kwenye maeneo ya ibada, fukwe za bahari, sehemu za starehe na maeneo mengine yote yatakayokuwa na mikusanyiko mikubwa ya watu wakati wa sherehe za sikukuu ya Eid el Fitri.
Taarifa ya polisi iliyosainiwa na msemaji wa jeshi hilo, SSP Advera Senso, pia imewataka wananchi kuwa makini na kuchukua hatua stahiki za haraka kwa kutoa taarifa pindi wanapoona viashiria vyovyote vya uhalifu.
Alisema katika taarifa hiyo kuwa uzoefu unaonesha kuwa baadhi ya watu hutumia kipindi cha sikukuu kama mwanya wa kufanya uhalifu kutokana na mikusanyiko watu.
Alisema polisi kwa kushirikiana na vyombo vyengine vya ulinzi limejipanga vizuri kuhakikisha wananchi wanasherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu, pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani.
Katika kuhakikisha usalama kwenye kumbi za starehe, aliwataka wamiliki wa kumbi hizo wazingatie uhalali na matumizi ya kumbi zao katika uingizaji wa watu kulingana na uwezo wa kumbi hizo, badala ya kuendekeza tamaa ya fedha kwa kujaza watu kupita kiasi.
Pia amewataka wazazi wawe makini na watoto wao na hasa disko toto, ili kuepuka ajali na matukio mengine yanayoweza kusababisha madhara.

Aliwatahadharisha wananchi kuwa makini na matapeli yanayotumia majina ya viongozi, watu maarufu na wafanyabiashara wakubwa kujipatia pesa na vitu mbalimbali.
Alisema matapeli hao wamekuwa wakitumia ujumbe mfupi wa simu za mkononi kupata taarifa za mtu binafsi hatimae mtu huyo kuibiwa.
Kuhusu agizo la Rais Kikwete la kuwataka wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kusalimisha silaha zao, Senso alisema baadhi ya watu hao tayari wameanza kusalimisha silaha hasa katika mikoa ya Kagera na Kigoma.
Kuhusu wajamiaji haramu, alisema tayari wameanza kurudi makwao na kusema hiyo ni hatua nzuri.
Alitoa wito kwa watu hao kuendelea kutekeleza agizo la serikali kabla ya operesheni kabambe kuanza itakayoendeshwa na polisi kwa kushirikiana na vyombo vyengine vya ulinzi na usalama.
Chanzo - ZanziNew

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...