Polisi nchini Misri, wametumia gesi ya
kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji wanaomuunga mkono rais
aliyeondolewa mamlakani Mohammed Morsi wakati wa maandamano yao mjini
Cairo.
Vikosi vya usalama viliingilia maandamano hayo baada ya wafuasi wa Morsi kukabiliana na mahasimu wao wa kisiasa.
P.T
Comments