Skip to main content

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili mapigamo Mashariki mwa DRC


Na Victor Melkizedeck Abuso

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linakutana siku ya Jumatatu kuzungumzia mapigano mapya yanayoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kati ya waasi wa M 23 na majeshi ya serikali yakisaidiwa na yale ya Umoja wa Mataifa.
Kuendelea kwa mapigano hayo kumeisukuma Ufaransa kuitisha kikao hicho cha dharura huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon akishtumu mapambano yanayoendelea.
Kikao hicho kitafanyika huku jeshi la serikali likifanikiwa kuchukua uthibiti wa ngome za M 23 katika miji ya Rutshuru na Kiwanja.
Mapambano hayo yalianza wiki iliyopita baada ya mazungumzo ya amani kati ya waasi hao na serikali ya DRC kukwama jijini Kampala Uganda, na yamesababisha maelfu ya waakazi wa Mashariki kukimbia makwao na kusababisha kuuawa kwa mwanajeshi mmoja wa Umoja wa Mataifa kutoka nchini Tanzania.
Kiongozi wa jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa MONUSCO Martin Kobler amesema kuwa mwanajeshi huyo wa Tanzania aliuawa wakati akiwalinda raia katika mji wa Kiwanja na anakuwa mwanajeshi wa tatu kutoka nchini Tanzania kuuawa katika mapambano hayo.
Msemaji wa jeshi la Serikali Mashariki mwa nchi hiyo Kanali Olivier Hamuli, ameimbia RFI Kiswahili kuwa vikosi vya serikali vimefanikiwa pakubwa kuwarudisha waasi wa M 23 na sasa wanathibiti miji ya Rutshuru na Kiwanja.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.