Skip to main content

Wataalam wa UN wazuru Rwanda kuhusu waasi Mashariki mwa DRC


Na Victor Melkizedeck Abuso
Wataalam wa Umoja wa Mataifa wanazuru Rwanda siku kadhaa baada ya Marekani kuiwekea serikali ya Kigali vikwazo kutokana na waasi wa M 23 Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwatumia watoto katika jeshi lake, waasi ambao Rwanda inatuhumiwa kuwaunga mkono.
Wakaazi wa Mashariki mwa DRC wakikimbia makwao
Rais Paul Kagame anakutana na wataalam hao ambao pia walizuru mji wa Goma kuthathmini hali ya usalama Mashariki mwa nchi hiyo, kipindi hiki Kigali ikiendelea kukanusha madai ya kuwaunga mkono waasi wa M 23 au kujihusisha na machafuko nchini DRC.
Wiki iliyopita, serikali ya Marekani ilitangaza kuiwekea vikwazo serikali ya Kigali kwa kusitisha mafunzo na ufadhili wa jeshi lake baada ya ripoti ya umoja wa Mataifa kuonesha kuwa Kigali imeedelea kuwaunga mkono waasi wa M 23 wanaotumia watoto katika jeshi lake.
Tuhuma za utumizi wa watoto katika jeshi la M 23 zimekanushwa vikali na kiongozi wa kundi hilo Betrand Bissimwa ambaye ameiambia RFI Kiswahili kuwa sheria zao haziruhusu watoto kutumiwa katika jeshi lake na madai hayo hayo hayana msingi.
Katika hatua nyingine, Umoja wa Mataifa unasema utulivu Mashariki mwa DRC unaweza kupatikana tu kupitia mazungumzo ya kisiasa wala sio matumizi ya nguvu.
Alexis Lamek, Naibu Balozi wa Ufaransa katika Umoja huo amesema kuwa mazungumzo ndio njia ya pekee kwa sababu waasi wa M 23 tayari walikuwa wamejumuishwa katika jeshi la serikali mwaka 2009 baada ya muafaka wa amani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.