Skip to main content

Wataalam wa UN wazuru Rwanda kuhusu waasi Mashariki mwa DRC


Na Victor Melkizedeck Abuso
Wataalam wa Umoja wa Mataifa wanazuru Rwanda siku kadhaa baada ya Marekani kuiwekea serikali ya Kigali vikwazo kutokana na waasi wa M 23 Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwatumia watoto katika jeshi lake, waasi ambao Rwanda inatuhumiwa kuwaunga mkono.
Wakaazi wa Mashariki mwa DRC wakikimbia makwao
Rais Paul Kagame anakutana na wataalam hao ambao pia walizuru mji wa Goma kuthathmini hali ya usalama Mashariki mwa nchi hiyo, kipindi hiki Kigali ikiendelea kukanusha madai ya kuwaunga mkono waasi wa M 23 au kujihusisha na machafuko nchini DRC.
Wiki iliyopita, serikali ya Marekani ilitangaza kuiwekea vikwazo serikali ya Kigali kwa kusitisha mafunzo na ufadhili wa jeshi lake baada ya ripoti ya umoja wa Mataifa kuonesha kuwa Kigali imeedelea kuwaunga mkono waasi wa M 23 wanaotumia watoto katika jeshi lake.
Tuhuma za utumizi wa watoto katika jeshi la M 23 zimekanushwa vikali na kiongozi wa kundi hilo Betrand Bissimwa ambaye ameiambia RFI Kiswahili kuwa sheria zao haziruhusu watoto kutumiwa katika jeshi lake na madai hayo hayo hayana msingi.
Katika hatua nyingine, Umoja wa Mataifa unasema utulivu Mashariki mwa DRC unaweza kupatikana tu kupitia mazungumzo ya kisiasa wala sio matumizi ya nguvu.
Alexis Lamek, Naibu Balozi wa Ufaransa katika Umoja huo amesema kuwa mazungumzo ndio njia ya pekee kwa sababu waasi wa M 23 tayari walikuwa wamejumuishwa katika jeshi la serikali mwaka 2009 baada ya muafaka wa amani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...