Skip to main content

Wakaazi wa Mogadishu washerehekea kuwasili kwa Eid al-Adha


Na Ali Adam, Mogadishu
Furaha zilitanda katika mitaa ya Mogadishu Jumanne (tarehe 15 Oktoba) kwani makundi ya Wasomali waliungana na Waislamu duniani kote kuadhimisha siku ya kwanza ya Eid al-Adha.
Wavulana wa Somalia wakicheza mieleka katika mchanga kwenye ufukwe wa Lido huko Mogadishu kusherehekea Eid al-Adha. [Ali Adam/Sabahi]
Mamia ya waumini walishangilia kwa kukusanyika katika msikiti wa Isbahaysiga huko Mogadishu kuswali, ikiwa ni pamoja na Rais Hassan Sheikh Mohamud na maofisa wengine wa nchi.
Mohamud alihutubia mkusanyiko wa waumini baada ya swala ya Eid, akituma salamu za sikukuu kwa watu wa Somalia walio nyumbani na nje ya nchi akiwatakia amani na maendeleo.
Rais pia alijadili hali ya usalama na kisiasa ya nchi, na kutoa wito kwa wanachama wa al-Shabaab kukumbatia amani na kujitoa katika shughuli za kigaidi.
"Ninawaambia vijana ambao ni sehemu ya al-Shabaab, rudini kwa watu wenu na nchi yenu kwani hamna watu wengine nje ya watu wenu. Wakati mtakaporudi kwa watu wenu kwa majuto makubwa na kuacha kusababisha matatizo, watawasamehe," Mohamud alisema
Watoto wa Somalia wakiwa kwenye ufukwe wa Lido wakati wakisherehekea Eid al-Adha na familia zao [Ali Adam/Sabahi]
Kufuatia swala ya Eid, familia zilizovalia vizuri ziliingia katika mitaa ya mji mkuu wa Somalia kushangilia na ndugu na marafiki.
Elmi Mohamed, mwenye umri wa miaka 37, ambaye alirejea nyumbani kutoka Sweden miezi miwili iliyopita, alisema alihisi kuwa yeye ni mwenye bahati kusherekea sikukuu ya Eid nyumbani huko Mogadishu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...