Skip to main content

Wakaazi wa Mogadishu washerehekea kuwasili kwa Eid al-Adha


Na Ali Adam, Mogadishu
Furaha zilitanda katika mitaa ya Mogadishu Jumanne (tarehe 15 Oktoba) kwani makundi ya Wasomali waliungana na Waislamu duniani kote kuadhimisha siku ya kwanza ya Eid al-Adha.
Wavulana wa Somalia wakicheza mieleka katika mchanga kwenye ufukwe wa Lido huko Mogadishu kusherehekea Eid al-Adha. [Ali Adam/Sabahi]
Mamia ya waumini walishangilia kwa kukusanyika katika msikiti wa Isbahaysiga huko Mogadishu kuswali, ikiwa ni pamoja na Rais Hassan Sheikh Mohamud na maofisa wengine wa nchi.
Mohamud alihutubia mkusanyiko wa waumini baada ya swala ya Eid, akituma salamu za sikukuu kwa watu wa Somalia walio nyumbani na nje ya nchi akiwatakia amani na maendeleo.
Rais pia alijadili hali ya usalama na kisiasa ya nchi, na kutoa wito kwa wanachama wa al-Shabaab kukumbatia amani na kujitoa katika shughuli za kigaidi.
"Ninawaambia vijana ambao ni sehemu ya al-Shabaab, rudini kwa watu wenu na nchi yenu kwani hamna watu wengine nje ya watu wenu. Wakati mtakaporudi kwa watu wenu kwa majuto makubwa na kuacha kusababisha matatizo, watawasamehe," Mohamud alisema
Watoto wa Somalia wakiwa kwenye ufukwe wa Lido wakati wakisherehekea Eid al-Adha na familia zao [Ali Adam/Sabahi]
Kufuatia swala ya Eid, familia zilizovalia vizuri ziliingia katika mitaa ya mji mkuu wa Somalia kushangilia na ndugu na marafiki.
Elmi Mohamed, mwenye umri wa miaka 37, ambaye alirejea nyumbani kutoka Sweden miezi miwili iliyopita, alisema alihisi kuwa yeye ni mwenye bahati kusherekea sikukuu ya Eid nyumbani huko Mogadishu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.