Skip to main content

Magufuli: Hata kama siridhishwi natii maelekezo ya Pinda


Na BENJAMIN MASESE
HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kubatilisha uamuzi wa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, uliosababisha mgomo wa malori na mabasi nchini, imeanza kuchukua mwelekeo mpya, baada ya Waziri huyo kusema anatii kile alichokieleza kiongozi wake huyo, hata kama hakuridhishwa nacho.
Picture
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, Bungeni mjini Dodoma, Juni 2013.
Agizo la Pinda lilikuja baada ya Magufuli, kutangaza kuanza kutumika kwa kanuni namba 7 (3) ya Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 2001, inayotaka malori yote yanayozidisha uzito uliopo ndani ya asilimia tano kupunguza mzigo, kupanga mzigo upya au kulipia uzito uliozidi mara nne ya tozo ya kawaida.
Akizungumza na RAI Jumapili kupitia kwa Katibu wake, Martyin Ntemo, Waziri Magufuli alisema licha ya agizo hilo la Waziri
Mkuu, msimamo wake ni kufanya kazi na kampuni zinazoheshimu sheria na si vinginevyo.
“Maamuzi ya Waziri Mkuu hayawezi kupingwa au kuhojiwa, natii kile kilichoelekezwa, hata kama sijaridhishwa moyoni mwangu…ila msimamo wa Wizara yangu ni kufanya kazi na kampuni zinazoheshimu sheria na si vinginevyo,” alikaririwa Magufuli.
Kauli hiyo ya Magufuli inadhihirisha wazi kwamba hajaridhishwa na agizo la Waziri Mkuu la kutoa muda wa mwezi mmoja kwa watumiaji wa malori na mabasi kuendelea kutumia sheria ya zamani, wakati ufumbuzi wa tatizo ukiwa bado unatafutwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.