Skip to main content

Maelfu ya walimu wakabiliana na polisi nchini Brazil


Na Victor Melkizedeck Abuso
Maelfu ya walimu wamekabiliana na polisi nchini Brazil katika jiji la Rio de Janeiro na Sao Paulo, wakati wa maandamano ya walimu wakitaka serikali iwaongezee mshahara.
Walimu wakiandamana nchini Brazil
Makabililano hayo yamezuka baada ya walimu wanaokisiwa kuwa zaidi ya 10,000 kuanza kufanya uharibifu katika majengo ya serikali baada ya maandamano hayo kuanza kwa amani katika barabara za miji hiyo.
Usiku kucha walimu na polisi wamekimbizana katika mitaa ya jijini la Rio huku kukiwa na hali ya wasiwasi kipindi hiki suala la usalama likisalia changamoto kubwa kwa serikali wakati huu nchi hiyo ikijiandaa kuandaa michuano ya soka ya kombe la dunia mwaka ujao na ile ya Olimpiki mwaka 2016.
Walimu nchini Brazil wamekuwa wakidai nyongeza ya mshahara kwa kipindi cha miezi mwili sasa, miezi minane kabla ya kuanza kwa michuano ya kombe la dunia mwaka ujao.
Serikali nchini Brazil inasema imejaribu kushughulikia maswala ya wafanyikazi wa umma nchini humo hasa katika sekta ya elimu na afya ambayo imekuwa ikikabiliwa na changamoto kwa kipindi kirefu.
Maandamano ya Jumatatu usiku ndio makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika nchi hiyo katika siku za hivi karibuni ambayo yalianza kwa njia ya amani kabla ya kuzuka fujo.
Wanaharakati nchini Brazil wamekosoa sera za rais Dilma Rousseff kuhusu kutumia fedha nyingi kushughulikia maandalizi ya kombe la dunia na Olimpiki nchini humo badala ya kushughulikia changamoto za watumishi wa umma.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.