Skip to main content

Rais wa Mali Keita avunjilia mbali Kamati ya Mabadiliko ya Jeshi iliyokuwa inaongozwa na Kepteni Sanogo


Na Nurdin Selemani Ramadhani
Rais Mpya wa Mali Ibrahim Boubacar Keita maarufu kwa jina la IBK amevunjilia mbali Kamati maalum ya Mabadiliko ya Jeshi nchini humo akisema amechukua uamuzi huo baada ya kutoridhishwa na utendaji wake.


Rais wa Mpya wa Mali Ibrahim Boubacar KeĂŻta amevunjia mbali Kamati ya Mabadiliko ya Jeshi
REUTERS/Joe Penney
Kamati hiyo iliyokuwa inaongozwa na Kiongozi wa Mapinduzi Kapteni Amadou Haya Sanogo pamoja na wanajeshi wengi walioshiriki kuiangusha Serikali ya Rais Amadou Toumani Toure kitu kilichochangia kuibuka kwa machafuko katika nchi hiyo.
Rais Keita amesema hawezi kuvumilia pale ambapo kuna watu watovu wa nidhamu hivyo ameona bora avunje mbali kamati hiyo kwa sababu imeshindwa kufanyakazi yake kama ilivyopaswa.
Kiongozi huyo wa Mali amesema uchunguzi unafanyika kubaini kwa nini Kamati hiyoimeshindwa kufanyakazi yake ipasavyo na yoyote ambaye atapatikana na hatia ya kutenda kosa atakabiliwa na adhabu.
Keita amesema hatua ya wanajeshi kufanya mgomo mapema juma hili ni kitu ambacho hakiwezi kuvumiliwa hata kidogo na kinaonekana kuchochewa na kamati iliyopewa jukumu la kuhakikisha kuna mabadiliko jeshini.
Rais Keita ambaye amejiapiza kufanya kila linalowezekana katika kuhakikisha anajenga Jeshi imara litakalokuwa nakibarua cha kuimarisha hali ya usalama amesema hatoweza kukaa kimya pale atakapoona juhudi zake zinasitishwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.