Skip to main content

Rais wa Mali Keita avunjilia mbali Kamati ya Mabadiliko ya Jeshi iliyokuwa inaongozwa na Kepteni Sanogo


Na Nurdin Selemani Ramadhani
Rais Mpya wa Mali Ibrahim Boubacar Keita maarufu kwa jina la IBK amevunjilia mbali Kamati maalum ya Mabadiliko ya Jeshi nchini humo akisema amechukua uamuzi huo baada ya kutoridhishwa na utendaji wake.


Rais wa Mpya wa Mali Ibrahim Boubacar KeĂŻta amevunjia mbali Kamati ya Mabadiliko ya Jeshi
REUTERS/Joe Penney
Kamati hiyo iliyokuwa inaongozwa na Kiongozi wa Mapinduzi Kapteni Amadou Haya Sanogo pamoja na wanajeshi wengi walioshiriki kuiangusha Serikali ya Rais Amadou Toumani Toure kitu kilichochangia kuibuka kwa machafuko katika nchi hiyo.
Rais Keita amesema hawezi kuvumilia pale ambapo kuna watu watovu wa nidhamu hivyo ameona bora avunje mbali kamati hiyo kwa sababu imeshindwa kufanyakazi yake kama ilivyopaswa.
Kiongozi huyo wa Mali amesema uchunguzi unafanyika kubaini kwa nini Kamati hiyoimeshindwa kufanyakazi yake ipasavyo na yoyote ambaye atapatikana na hatia ya kutenda kosa atakabiliwa na adhabu.
Keita amesema hatua ya wanajeshi kufanya mgomo mapema juma hili ni kitu ambacho hakiwezi kuvumiliwa hata kidogo na kinaonekana kuchochewa na kamati iliyopewa jukumu la kuhakikisha kuna mabadiliko jeshini.
Rais Keita ambaye amejiapiza kufanya kila linalowezekana katika kuhakikisha anajenga Jeshi imara litakalokuwa nakibarua cha kuimarisha hali ya usalama amesema hatoweza kukaa kimya pale atakapoona juhudi zake zinasitishwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...