Skip to main content

MR PRESIDENT VIPI UWEKEZAJI KATIKA SOKA LA BONGO?


ob9 8750b
Heshima kwako mheshimiwa Rais wa 44 wa Taifa kubwa duniani  la USA ,Ndugu Barack Hussein Obama, awali ya yote nilifurahishwa na maandalizi ya ujio wako na furaha ikatimia nilivyoona kupitia Televishen ya Taifa ukishuka kutoka kwenye Air Force One, tatu nikafurahishwa vile ulivyochangamka ukiwa pale uwanjani kama haitoshi nikavutiwa vile ukidance pale uwanja wa ndege na kama bado nikapendezwa na uwezo wako wa kujibu maswali ya wanahabari ingawa nilipenda yaendelee.
Mr President nasikitika sijasikia habari ya michezo ikipewa kipaumbele katika ziara yako nilitegemea kusikia katika miradi ambayo serikari yako inafadhiri nchi yetu basi angalau suala la kujenga shule za michezo kwa kasi lingekuwa linagusiwa ,
Mr President ajira imekuwa ni tatizo kubwa katika nchi yetu hasa kwa vijana na labda tulitegemea uwepo wa uwekezaji katika michezo ungesaidia kupunguza tatizo hili ila nalo limekuwa tatizo sugu, sasa kwa mtazamo wangu Capt Mkami Jr nilitegemea itaondoa tatizo hili japo si sana ila angalau michezo uleta watu karibu na uleta furaha na amani.
Mr President pichani nimevutiwa ukiwa na mpira wa mkipasiana na Mr President mwenzio bila shaka kuna chochote mlizungumza kuhusia na hicho mnachokifanya hapo pichani, pia hii picha  kwangu inanipa neno
Je Mr President wangu ndugu Jakaya , Uwanja wa taifa,Kocha, na Timu ya taifa vinatosha kutupeleka World Cup mimi nadhani ipo haja ya kuwekeza katika michezo kwa nguvu na kwa mipango hakika tutaweza?
Capt Mkami Jr.Chanzo ni www.mjengwablog.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...