Skip to main content

MR PRESIDENT VIPI UWEKEZAJI KATIKA SOKA LA BONGO?


ob9 8750b
Heshima kwako mheshimiwa Rais wa 44 wa Taifa kubwa duniani  la USA ,Ndugu Barack Hussein Obama, awali ya yote nilifurahishwa na maandalizi ya ujio wako na furaha ikatimia nilivyoona kupitia Televishen ya Taifa ukishuka kutoka kwenye Air Force One, tatu nikafurahishwa vile ulivyochangamka ukiwa pale uwanjani kama haitoshi nikavutiwa vile ukidance pale uwanja wa ndege na kama bado nikapendezwa na uwezo wako wa kujibu maswali ya wanahabari ingawa nilipenda yaendelee.
Mr President nasikitika sijasikia habari ya michezo ikipewa kipaumbele katika ziara yako nilitegemea kusikia katika miradi ambayo serikari yako inafadhiri nchi yetu basi angalau suala la kujenga shule za michezo kwa kasi lingekuwa linagusiwa ,
Mr President ajira imekuwa ni tatizo kubwa katika nchi yetu hasa kwa vijana na labda tulitegemea uwepo wa uwekezaji katika michezo ungesaidia kupunguza tatizo hili ila nalo limekuwa tatizo sugu, sasa kwa mtazamo wangu Capt Mkami Jr nilitegemea itaondoa tatizo hili japo si sana ila angalau michezo uleta watu karibu na uleta furaha na amani.
Mr President pichani nimevutiwa ukiwa na mpira wa mkipasiana na Mr President mwenzio bila shaka kuna chochote mlizungumza kuhusia na hicho mnachokifanya hapo pichani, pia hii picha  kwangu inanipa neno
Je Mr President wangu ndugu Jakaya , Uwanja wa taifa,Kocha, na Timu ya taifa vinatosha kutupeleka World Cup mimi nadhani ipo haja ya kuwekeza katika michezo kwa nguvu na kwa mipango hakika tutaweza?
Capt Mkami Jr.Chanzo ni www.mjengwablog.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.