Skip to main content

MR PRESIDENT VIPI UWEKEZAJI KATIKA SOKA LA BONGO?


ob9 8750b
Heshima kwako mheshimiwa Rais wa 44 wa Taifa kubwa duniani  la USA ,Ndugu Barack Hussein Obama, awali ya yote nilifurahishwa na maandalizi ya ujio wako na furaha ikatimia nilivyoona kupitia Televishen ya Taifa ukishuka kutoka kwenye Air Force One, tatu nikafurahishwa vile ulivyochangamka ukiwa pale uwanjani kama haitoshi nikavutiwa vile ukidance pale uwanja wa ndege na kama bado nikapendezwa na uwezo wako wa kujibu maswali ya wanahabari ingawa nilipenda yaendelee.
Mr President nasikitika sijasikia habari ya michezo ikipewa kipaumbele katika ziara yako nilitegemea kusikia katika miradi ambayo serikari yako inafadhiri nchi yetu basi angalau suala la kujenga shule za michezo kwa kasi lingekuwa linagusiwa ,
Mr President ajira imekuwa ni tatizo kubwa katika nchi yetu hasa kwa vijana na labda tulitegemea uwepo wa uwekezaji katika michezo ungesaidia kupunguza tatizo hili ila nalo limekuwa tatizo sugu, sasa kwa mtazamo wangu Capt Mkami Jr nilitegemea itaondoa tatizo hili japo si sana ila angalau michezo uleta watu karibu na uleta furaha na amani.
Mr President pichani nimevutiwa ukiwa na mpira wa mkipasiana na Mr President mwenzio bila shaka kuna chochote mlizungumza kuhusia na hicho mnachokifanya hapo pichani, pia hii picha  kwangu inanipa neno
Je Mr President wangu ndugu Jakaya , Uwanja wa taifa,Kocha, na Timu ya taifa vinatosha kutupeleka World Cup mimi nadhani ipo haja ya kuwekeza katika michezo kwa nguvu na kwa mipango hakika tutaweza?
Capt Mkami Jr.Chanzo ni www.mjengwablog.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...