Skip to main content

Banyamulenge waishio DR Congo walilia usalama wao


Na Martha Saranga Amini
Wakati mapigano yanaendelea Huko mashariki mwa Jamhuri Ya Kidemokrasia ya Congo,DRC Watu wanaozungumza lugha ya Kinyarwanda al maarufu kama Banyamulenge wamevilaumu vyombo vya usalama na raia kuendelea kuwanyanyasa huku Viongozi wa Jimbo la Kivu ya Kaskazini wakisema watahakikisha usalama wa raia hao.
Baadhi wa wapiganaji waasi wa M23 wakiwa kambini Rumangabo DRC waasi hawa wanatuhumiwa kukiuka haki za binadamu kwa kuwatesa raia
Reuters/James Akena
Katika mazungumzo na Gavana wa Jimbo la Kivu ya Kaskazini raia hao kutoka kabila la Banyamulenge waliilaumu serikali ya Rwanda pamoja na waasi wa Kundi la M23,kutetea vita vya mashariki mwa Drc kuwa ni kwa lengo la kusaka maslahi ya wanyarwanda.
Kwa upande wao Viongozi wa serikali pamoja na wale wa kijeshi wamesema tayari wamefanikiwa kusuka mikakati iliyo thabiti ili kuhakikisha kwamba usalama wa Banyamulenge unazingatiwa katika Jimbo nzima la Kivu ya Kaskazini.
Hayo yanajiri wakati Hali ya wasi wasi inazidi kutanda katika mji wa Kiwanja ulioko umbali wa kilomita takribani hamsini kaskazini mwa Jiji la Goma ambapo imeripotiwa kuwa zaidi ya watu mia mbili waliozingirwa Wakati wa Mkutano wa Hadhara ulioshikiliwa na M23 Alhamisi iliyopita wanaendelea kushikiliwa,kupigwa na kuteswa katika Gereza la Nyongera.
Mashirika ya kimataifa na Asasi za kiraia Huko Kivu ya Kaskazini yanasema kuna Hofu kwamba huenda baadhi ya Watu watakuwa wameuawa,au kukumbwa na majeraha makali kufuatia Vichapo wanavyopigwa na Waasi waM23.
Hata Hivyo M23 Hawajathibitisha wala kukanusha taarifa zinazohusiana na kukamatwa kwa watu katika Mji wa Kiwanja.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.