Skip to main content

Banyamulenge waishio DR Congo walilia usalama wao


Na Martha Saranga Amini
Wakati mapigano yanaendelea Huko mashariki mwa Jamhuri Ya Kidemokrasia ya Congo,DRC Watu wanaozungumza lugha ya Kinyarwanda al maarufu kama Banyamulenge wamevilaumu vyombo vya usalama na raia kuendelea kuwanyanyasa huku Viongozi wa Jimbo la Kivu ya Kaskazini wakisema watahakikisha usalama wa raia hao.
Baadhi wa wapiganaji waasi wa M23 wakiwa kambini Rumangabo DRC waasi hawa wanatuhumiwa kukiuka haki za binadamu kwa kuwatesa raia
Reuters/James Akena
Katika mazungumzo na Gavana wa Jimbo la Kivu ya Kaskazini raia hao kutoka kabila la Banyamulenge waliilaumu serikali ya Rwanda pamoja na waasi wa Kundi la M23,kutetea vita vya mashariki mwa Drc kuwa ni kwa lengo la kusaka maslahi ya wanyarwanda.
Kwa upande wao Viongozi wa serikali pamoja na wale wa kijeshi wamesema tayari wamefanikiwa kusuka mikakati iliyo thabiti ili kuhakikisha kwamba usalama wa Banyamulenge unazingatiwa katika Jimbo nzima la Kivu ya Kaskazini.
Hayo yanajiri wakati Hali ya wasi wasi inazidi kutanda katika mji wa Kiwanja ulioko umbali wa kilomita takribani hamsini kaskazini mwa Jiji la Goma ambapo imeripotiwa kuwa zaidi ya watu mia mbili waliozingirwa Wakati wa Mkutano wa Hadhara ulioshikiliwa na M23 Alhamisi iliyopita wanaendelea kushikiliwa,kupigwa na kuteswa katika Gereza la Nyongera.
Mashirika ya kimataifa na Asasi za kiraia Huko Kivu ya Kaskazini yanasema kuna Hofu kwamba huenda baadhi ya Watu watakuwa wameuawa,au kukumbwa na majeraha makali kufuatia Vichapo wanavyopigwa na Waasi waM23.
Hata Hivyo M23 Hawajathibitisha wala kukanusha taarifa zinazohusiana na kukamatwa kwa watu katika Mji wa Kiwanja.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...