Na: Frank Geofray-Jeshi la Polisi, Kilimanjaro.
Serikali kuu na Sereikali za mitaa zimetakiwa kuendelea kushirikiana ili kuwezesha uwepo wa ulinzi na usalama katika maeneo yote hapa nchini kwa kuimairisha na kuipa msukumo kampeni ya Baraka za utii wa sheria bila shuruti inayosimamiwa na Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste nchini (PCT).Hayo yalisemwa jana na Naibu waziri wa TAMISEMI Agrey Mwanri wakati alipokuwa akizungumza na wakazi wa Mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro wakati wa
Comments