Skip to main content

Rais wa Marekani Barack Obama alishika Jiji la Dar


JIJI la Dar es Salaam leo litakuwa kwenye heka heka kubwa za kumpokea Rais wa Marekani, Barrack Obama anayetarajia kuwasili saa nane mchana.
Jiji la Dar es Salaam 
Ujio wa kiongozi huyo umesababisha kufungwa kwa barabara na kuimarishwa kwa ulinzi katika maeneo mbalimbali.
Kwa takribani wiki moja sasa ulinzi umeendelea kuimarishwa zaidi kwa kuwashirikisha makachero wa Marekani wakiwemo FBI, CIA na wale wa Tanzania.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Obama anayeongozana na familia yake anatarajiwa kupokelewa jijini Dar es Salaam na mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete na baadaye atakwenda Ikulu kwa mazungumzo rasmi.
Taarifa hiyo inabainisha kuwa Obama atapata fursa ya kufanya mkutano na wafanyabiashara Ikulu pamoja na kuhudhuria dhifa ya kitaifa.
Kesho atakwenda kutembelea mitambo ya kufua umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam na kuzindua rasmi Mpango Maalum wa Maendeleo ya Nishati Barani Afrika ulioanzishwa na Marekani wa Power Africa Initiative.
Kutokana na ujio huo wa Obama, maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam yalikuwa na ulinzi mkali wa makachero wa Marekani na Tanzania pamoja na barabara atakazopita kiongozi huyo kufanyiwa usafi.
Barabara atakazopita Obama pia zimefanyiwa matengenezo madogo madogo hususani zile zilizokuwa na mashimo, huku nyingine zikiwekewa taa za barabarani pamoja na bendera za mataifa hayo mawili.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.