Skip to main content

Rais wa Marekani Barack Obama alishika Jiji la Dar


JIJI la Dar es Salaam leo litakuwa kwenye heka heka kubwa za kumpokea Rais wa Marekani, Barrack Obama anayetarajia kuwasili saa nane mchana.
Jiji la Dar es Salaam 
Ujio wa kiongozi huyo umesababisha kufungwa kwa barabara na kuimarishwa kwa ulinzi katika maeneo mbalimbali.
Kwa takribani wiki moja sasa ulinzi umeendelea kuimarishwa zaidi kwa kuwashirikisha makachero wa Marekani wakiwemo FBI, CIA na wale wa Tanzania.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Obama anayeongozana na familia yake anatarajiwa kupokelewa jijini Dar es Salaam na mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete na baadaye atakwenda Ikulu kwa mazungumzo rasmi.
Taarifa hiyo inabainisha kuwa Obama atapata fursa ya kufanya mkutano na wafanyabiashara Ikulu pamoja na kuhudhuria dhifa ya kitaifa.
Kesho atakwenda kutembelea mitambo ya kufua umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam na kuzindua rasmi Mpango Maalum wa Maendeleo ya Nishati Barani Afrika ulioanzishwa na Marekani wa Power Africa Initiative.
Kutokana na ujio huo wa Obama, maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam yalikuwa na ulinzi mkali wa makachero wa Marekani na Tanzania pamoja na barabara atakazopita kiongozi huyo kufanyiwa usafi.
Barabara atakazopita Obama pia zimefanyiwa matengenezo madogo madogo hususani zile zilizokuwa na mashimo, huku nyingine zikiwekewa taa za barabarani pamoja na bendera za mataifa hayo mawili.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...