Skip to main content

Papa Francis awaunga mkono vijana wanaodai mabadiliko ya jamii


Na Martha Saranga Amini
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis amewaunga mkono vijana waliochukua hatua ya kuandamana kwa lengo la kutaka mabadiliko akihutubia takribani watu milioni mbili huko Brazil.
Security guards run to keep up with Pope Francis as he arrives for his final mass on Copacabana beach: He worked the crowd, kissing babies, taking a sip of mate tea handed up to him and catching gifts on the fly
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis akiwa Rio De Jeneiro,Brazili photo/dailymail
Papa Francis aliwaambia waumini wa kanisa Wakatoliki ambao wengi wao walikuwa vijana waliokusanyika katika pwani moja huko Rio de Janeiro kwamba alifuatilia habari duniani na kuona wimbi kubwa la vijana likifanya maandamano kwa lengo la kueleza uhitaji wa haki na udugu.
Papa aliongeza kuwa Vijana wanaoonekana wakiandamana wameamua kuwa watendaji wa mabadiliko na kuwataka vijana kuwajibika wanapoguswa na masuala ya kijamii na kisiasa katika maeneo mbalimbali duniani.
Mamilioni ya waandamanaji walijitokeza katika maeneo mbalimbali nchini brazil mwezi uliopita wakipinga ufisadi,matumizi mabaya ya mali ya umma,na gharama kubwa za kufanyika kwa kombe la dunia mwaka 2014 nchini humo maandamano ambayo mara zote huishia kuwa ghasia. Via kiswahili.rfi.fr

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...