Skip to main content

Mh . Zitto Kabwe: “Nashawishi wananchi waikatae kodi ya ‘SimKadi’ ya tshs 1000 kwa mwezi kwa kila mwenye simu”

Zitto Kabwe (Facebook) ameandika:
Kodi ya SimKadi ya tshs 1000 kwa mwezi kwa kila mwenye simu ilikuwa kwenye hotuba ya Bajeti (tshs 1470). Waziri wa Fedha akaliambia Bunge kuwa hiyo imefutwa (alikuwa ametoka kwenye Cabinet kabla ya hapo, hivyo Cabinet haikupitisha kodi hii).
Katika Mjadala wa Bajeti wa wiki nzima kodi hii haikujadiliwa kabisa maana ilikuwa imeondolewa katika mapendekezo ya Mapato. Kodi hii ikarejeshwa Bungeni kupitia Muswada wa Fedha. Muswada wa Fedha hutafsiri hotuba ya Bajeti kisheria. 
Kama Kodi hii haikuwa kwenye Hotuba, haikujadiliwa na Bunge, msingi wa muswada wa fedha kuwa na kodi hii haupo. Kodi hii ilirejeshwa kinyemela Bungeni na kupitishwa bila mjadala. Kodi hii ni batili.

Kodi hii inakwenda kinyume na msingi wa kodi kwani ni REGRESSIVE in nature. Rafiki yangu Mohamed Mohammed Dewji mmoja wa matajiri wakubwa Afrika, atalipa sawa na dada yangu Salima anaetembea jiji zima kila siku kuuza mihogo mibichi.

Nashawishi wananchi kwa namna wanavyojua waikatae kodi hii mpaka itakapofanyiwa marekebisho makubwa.
 
Wananchi wanataka kampuni za simu zilipe corporate tax na sio kuwakamua masikini.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.