Skip to main content

Obama akanyaga Tanzania


ULINZI MKALI KILA KONA, TANZANIA YAKOSOLEWA
HAYAWI hayawi sasa yamekuwa baada ya Rais wa Marekani, Barack Obama, kuwasili nchini jana kuanza ziara yake ya kiserikali ya siku mbili akitokea Afrika Kusini.
Greeting the group: The first couple met a young pair of children, as their daughter Sasha and niece Leslie look on
Rais Obama ambaye alipata mapokezi makubwa ya wananchi na viongozi mbalimbali, walioongozwa na Rais Jakaya Kikwete, aliwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere saa 8:36 akiongozana na mkewe Michelle pamoja na watoto wao wawili, Sasha na Malia.
Mara baada ya kuteremka kwenye ndege yake ya Air Force One, Rais Obama, alikumbatiana na Balozi wa Marekani nchini, Alfonso E. Lenhardt na mkewe, kisha akasalimiana na mwenyeji wake, Rais Kikwete na Mama Salma.
Rais Obama alikwenda moja kwa moja kwenye jukwaa dogo kisha kupigiwa nyimbo mbili za Tanzania na Marekani zilizoambatana na mizinga 21, kisha akakagua gwaride na vikundi vya ngoma za asili.
Festive: The President was seen dancing along to the music on the red carpet at the airport
Huku akishindwa kujizuia kutokana na burudani hiyo, Rais Obama alijikuta akisakata ngoma na mwenyeji wake, Rais Kikwete na baadaye alisalimiana na viongozi kadhaa wa kiserikali na mabalozi kisha viongozi hao walielekea Ikulu kwa mazungumzo.
Wakati wote ulinzi mkali wa maofisa usalama wa Marekani kwa kushirikiana na wale wa nchini uliimarishwa kila kona, ambako wananchi wengi walifurika mitaani kumlaki kiongozi huyo.
Baada ya mazungumzo mafupi ya faragha, viongozi hao walikuja mbele ya waandishi wa habari kwa ajili ya kuulizwa maswali mbalimbali.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.