Skip to main content

Obama akanyaga Tanzania


ULINZI MKALI KILA KONA, TANZANIA YAKOSOLEWA
HAYAWI hayawi sasa yamekuwa baada ya Rais wa Marekani, Barack Obama, kuwasili nchini jana kuanza ziara yake ya kiserikali ya siku mbili akitokea Afrika Kusini.
Greeting the group: The first couple met a young pair of children, as their daughter Sasha and niece Leslie look on
Rais Obama ambaye alipata mapokezi makubwa ya wananchi na viongozi mbalimbali, walioongozwa na Rais Jakaya Kikwete, aliwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere saa 8:36 akiongozana na mkewe Michelle pamoja na watoto wao wawili, Sasha na Malia.
Mara baada ya kuteremka kwenye ndege yake ya Air Force One, Rais Obama, alikumbatiana na Balozi wa Marekani nchini, Alfonso E. Lenhardt na mkewe, kisha akasalimiana na mwenyeji wake, Rais Kikwete na Mama Salma.
Rais Obama alikwenda moja kwa moja kwenye jukwaa dogo kisha kupigiwa nyimbo mbili za Tanzania na Marekani zilizoambatana na mizinga 21, kisha akakagua gwaride na vikundi vya ngoma za asili.
Festive: The President was seen dancing along to the music on the red carpet at the airport
Huku akishindwa kujizuia kutokana na burudani hiyo, Rais Obama alijikuta akisakata ngoma na mwenyeji wake, Rais Kikwete na baadaye alisalimiana na viongozi kadhaa wa kiserikali na mabalozi kisha viongozi hao walielekea Ikulu kwa mazungumzo.
Wakati wote ulinzi mkali wa maofisa usalama wa Marekani kwa kushirikiana na wale wa nchini uliimarishwa kila kona, ambako wananchi wengi walifurika mitaani kumlaki kiongozi huyo.
Baada ya mazungumzo mafupi ya faragha, viongozi hao walikuja mbele ya waandishi wa habari kwa ajili ya kuulizwa maswali mbalimbali.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...