Skip to main content

KASEJA:SIWEZI KUKOSA TIMU YA KUCHEZA


KIPA namba moja wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars , Juma Kaseja amewatoa hofu mashabiki wake kwa kuwaambia, hawezi kukosa timu ya kuchezea msimu ujao wa ligi kuu ya Tanzania Bara.

Akizungumza mjini Dar es Salaam hivi karibuni , Kaseja alisema atatangaza jina la timu atakayojiunga nayo msimu ujao baada ya pambano la michuano ya Kombe la CHAN kati ya Taifa Stars na Uganda.

Taifa Stars inatarajiwa kushuka dimbani keshokutwa kumenyana na Uganda kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kabla ya timu hizo kurudiana kati ya Julai 25 na 26 mwaka huu mjini Kampala.

Kaseja alisema kwa sasa ameelekeza nguvu na akili zake katika pambano hilo ili kuhakikisha anaisaidia Taifa Stars kupata ushindi na kujisafishia njia ya kufuzu kucheza fainali za michuano hiyo.

Kipa huyo wa zamani wa Simba alisema, anamshukuru Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen kwa kumuamini na kumwita tena kwenye kikosi chake na kuongeza kuwa, jukumu lake ni kudhihirisha kwamba bado yupo juu kisoka.

"Ninachoweza kuwaambia mashabiki wangu ni kwamba siwezi kukosa timu ya kuchezea msimu ujao. Lakini kwa sasa siwezi kuitaja kwa sababu akili yangu iko kwenye pambano letu na Uganda. Nitaitaja baada ya mchezo huo,"alisema kipa huyo, ambaye pia aliwahi kuzidakia Moro United na Yanga.

Kaseja amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushuhudia mechi ili kuwapa nguvu na kuwaongezea ari wachezaji na kushinda pambano hilo.

Simba ilitangaza kumtema kipa huyo wiki mbili zilizopita baada ya kutokea mvutano miongoni mwa viongozi wa klabu hiyo, ambapo baadhi walitaka aongezwe mkataba mpya na wengine wakitaka aachwe.

Uchunguzi uliofanywa na Burudani umebaini kuwa, huenda kipa huyo akajiunga na klabu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro au Coastal Union ya Tanga, japokuwa viongozi wa klabu hizo mbili wamekanusha kuwepo kwa mipango hiyo.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...