Skip to main content

KASEJA:SIWEZI KUKOSA TIMU YA KUCHEZA


KIPA namba moja wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars , Juma Kaseja amewatoa hofu mashabiki wake kwa kuwaambia, hawezi kukosa timu ya kuchezea msimu ujao wa ligi kuu ya Tanzania Bara.

Akizungumza mjini Dar es Salaam hivi karibuni , Kaseja alisema atatangaza jina la timu atakayojiunga nayo msimu ujao baada ya pambano la michuano ya Kombe la CHAN kati ya Taifa Stars na Uganda.

Taifa Stars inatarajiwa kushuka dimbani keshokutwa kumenyana na Uganda kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kabla ya timu hizo kurudiana kati ya Julai 25 na 26 mwaka huu mjini Kampala.

Kaseja alisema kwa sasa ameelekeza nguvu na akili zake katika pambano hilo ili kuhakikisha anaisaidia Taifa Stars kupata ushindi na kujisafishia njia ya kufuzu kucheza fainali za michuano hiyo.

Kipa huyo wa zamani wa Simba alisema, anamshukuru Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen kwa kumuamini na kumwita tena kwenye kikosi chake na kuongeza kuwa, jukumu lake ni kudhihirisha kwamba bado yupo juu kisoka.

"Ninachoweza kuwaambia mashabiki wangu ni kwamba siwezi kukosa timu ya kuchezea msimu ujao. Lakini kwa sasa siwezi kuitaja kwa sababu akili yangu iko kwenye pambano letu na Uganda. Nitaitaja baada ya mchezo huo,"alisema kipa huyo, ambaye pia aliwahi kuzidakia Moro United na Yanga.

Kaseja amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushuhudia mechi ili kuwapa nguvu na kuwaongezea ari wachezaji na kushinda pambano hilo.

Simba ilitangaza kumtema kipa huyo wiki mbili zilizopita baada ya kutokea mvutano miongoni mwa viongozi wa klabu hiyo, ambapo baadhi walitaka aongezwe mkataba mpya na wengine wakitaka aachwe.

Uchunguzi uliofanywa na Burudani umebaini kuwa, huenda kipa huyo akajiunga na klabu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro au Coastal Union ya Tanga, japokuwa viongozi wa klabu hizo mbili wamekanusha kuwepo kwa mipango hiyo.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.