Skip to main content

Mwendesha mashtaka wa Misri aanzisha uchunguzi dhidi ya Rais aliyeondolewa madarakani


Mwanachama wa Muslim Brotherhood akiwa na picha ya 
kiongozi aliyeondolewa madarakani Mohammad Morsi
REUTERS/Amr Abdallah Dalsh
Na Flora Martin Mwano
Ofisi ya mwendesha mashtaka nchini Misri imetangaza kuanziasha uchunguzi dhidi Mohamed Morsi, ambaye ni Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia na wananchi wa Taifa hilo na kuweka historia ya kukaa madarakani kwa mwaka mmoja pekee kabla ya kukumbwa na mapinduzi ya kijeshi.
Taarifa ya ofisi hiyo imeeleza kuwa imepokea malalamiko yanayomkabili Bwana Morsi, wanachama nane wafuasi wa Muslim Brotherhood akiwamo na kiongozi wa juu katika chama hicho Mohamed Badie.
Malalamiko yanayochunguzwa na ofisi ya mwendesha mashtaka ni pamoja na uchochezi na kuzorotesha uchumi wa Taifa hilo lililopitia mapinduzi mengine mwaka 2011 yaliyomuondoa madarakani aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Hosni Mubarak.
Badie pamoja na viongozi wengine wa Muslim Brotherhood tayari wanakabiliwa na mashtaka mengine dhidi ya uchochezi ingawa hakuna yeyote kati yao ambaye amekwishakamatwa.
Wakati huo huo wafuasi wa Morsi wameendelea kuandamana kwa zaidi ya juma moja sasa wakipinga mapinduzi yaliyofanywa na jeshi la nchi hiyo, watu zaidi ya 90 wanakadiriwa kupoteza maisha katika machafuko yaliyoambatana na maaandamano hayo.
Marekani na Ujerumani tayari zimetoa wito kwa jeshi kumuachia huru Morsi, hata hivyo viongozi wa serikali ya mpito wanasema Morsi ambaye hajaonekana hadharani toka kupinduliwa kwake amehifadhiwa mahali salama.
Via kiswahili.rfi.fr

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...