Skip to main content

Mwendesha mashtaka wa Misri aanzisha uchunguzi dhidi ya Rais aliyeondolewa madarakani


Mwanachama wa Muslim Brotherhood akiwa na picha ya 
kiongozi aliyeondolewa madarakani Mohammad Morsi
REUTERS/Amr Abdallah Dalsh
Na Flora Martin Mwano
Ofisi ya mwendesha mashtaka nchini Misri imetangaza kuanziasha uchunguzi dhidi Mohamed Morsi, ambaye ni Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia na wananchi wa Taifa hilo na kuweka historia ya kukaa madarakani kwa mwaka mmoja pekee kabla ya kukumbwa na mapinduzi ya kijeshi.
Taarifa ya ofisi hiyo imeeleza kuwa imepokea malalamiko yanayomkabili Bwana Morsi, wanachama nane wafuasi wa Muslim Brotherhood akiwamo na kiongozi wa juu katika chama hicho Mohamed Badie.
Malalamiko yanayochunguzwa na ofisi ya mwendesha mashtaka ni pamoja na uchochezi na kuzorotesha uchumi wa Taifa hilo lililopitia mapinduzi mengine mwaka 2011 yaliyomuondoa madarakani aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Hosni Mubarak.
Badie pamoja na viongozi wengine wa Muslim Brotherhood tayari wanakabiliwa na mashtaka mengine dhidi ya uchochezi ingawa hakuna yeyote kati yao ambaye amekwishakamatwa.
Wakati huo huo wafuasi wa Morsi wameendelea kuandamana kwa zaidi ya juma moja sasa wakipinga mapinduzi yaliyofanywa na jeshi la nchi hiyo, watu zaidi ya 90 wanakadiriwa kupoteza maisha katika machafuko yaliyoambatana na maaandamano hayo.
Marekani na Ujerumani tayari zimetoa wito kwa jeshi kumuachia huru Morsi, hata hivyo viongozi wa serikali ya mpito wanasema Morsi ambaye hajaonekana hadharani toka kupinduliwa kwake amehifadhiwa mahali salama.
Via kiswahili.rfi.fr

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...