Skip to main content

Al-Shabaab yajigamba kuhusu vurugu za Ramadhan


Majid Ahmed alichangia katika ripoti hii kutoka Mogadishu
Katika mfululizo wa ujumbe uliotolewa hivi karibuni kupitia Twitter, al-Shabaab ilijisifu kuhusu namna wapiganaji wake walivyofanya mashambulio zaidi ya 100 kwa kipindi cha nusu ya kwanza ya Ramadhan, na kuapa kuongeza vurugu wiki zijazo.
Mwanamke wa Somalia akiruka juu ya maiti iliyofunikwa baada ya bomu la kujitoa muhanga kulipuliwa na gari iliyosheheni milipuko kwenye msafara wa vikosi vya Umoja wa Afrika huko Mogadishu tarehe 12 Julai. [Mohamed Abdiwahab/AFP]
"Kati ya operesheni za kijeshi 108 zilizofanywa na HSM [al-Shabaab], 57 zilikuwa za mashambulio ya milipuko na maguruneti, 41 zilikuwa za kukabiliana moja kwa moja na mashambulio ya kushtukiza," kikundi hicho cha wanamgambo kilisema tarehe 24 Julai.
Al-Shabaab walisema pia walifanya mauaji kwa sababu za kisiasa tisa na shambulio la kujitoa muhanga dhidi ya msafara wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) huko Mogadishu tarehe 12 Julai, ambapo al-Shabaab walidai kuwajeruhi maofisa wa upelelezi wa Marekani.
Inadhaniwa kuwa "Shambulio la Ramadhan", kampeni ya al-Shabaab ya vurugu "imejikita zaidi katika mji mkuu, na takriban nusu ya operesheni zote za HSM zilifanyika huko Mogadishu".
Shabelle ya Chini & Jubba ya Chini pia zimeshuhudia vita vikali wakati wa nusu ya kwanza ya Ramadhan, pamoja na idadi kadhaa ya mashambulio kutarajiwa kuibuka ghafla," al-Shabaab alisema.
Katika ujumbe mbili uliotumwa tarehe 16 Julai, al-Shabaab ilielezea sababu zake za kufanya vurugu.
"Ramadhan ni mwezi wa Jihadi na kutoa sadaka. Ni muda wa kufanya vitendo vya uadilifu na kutoa shukrani kwa Allah kwa huruma zake," ilisema. "Na njia gani iliyo nzuri ya kufunga Ramadhan na kutoa shukrani kwa Allah kuliko kuchapa shingo za wavamizi na kuharibu matamanio yao!"
Katika jaribio la kuonyesha umoja kukiwa na mgawanyo wa ndani unaoendelea, al-Shabaab ilisema tarehe 24 Julai, "Kama kuna chochote, kinachoibuka haraka katika mashambulio yaliratibiwa ni kipimo bayana cha uimara cha Mujahidina na uwezo wao wa uendeshaji."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.