Skip to main content

Al-Shabaab yajigamba kuhusu vurugu za Ramadhan


Majid Ahmed alichangia katika ripoti hii kutoka Mogadishu
Katika mfululizo wa ujumbe uliotolewa hivi karibuni kupitia Twitter, al-Shabaab ilijisifu kuhusu namna wapiganaji wake walivyofanya mashambulio zaidi ya 100 kwa kipindi cha nusu ya kwanza ya Ramadhan, na kuapa kuongeza vurugu wiki zijazo.
Mwanamke wa Somalia akiruka juu ya maiti iliyofunikwa baada ya bomu la kujitoa muhanga kulipuliwa na gari iliyosheheni milipuko kwenye msafara wa vikosi vya Umoja wa Afrika huko Mogadishu tarehe 12 Julai. [Mohamed Abdiwahab/AFP]
"Kati ya operesheni za kijeshi 108 zilizofanywa na HSM [al-Shabaab], 57 zilikuwa za mashambulio ya milipuko na maguruneti, 41 zilikuwa za kukabiliana moja kwa moja na mashambulio ya kushtukiza," kikundi hicho cha wanamgambo kilisema tarehe 24 Julai.
Al-Shabaab walisema pia walifanya mauaji kwa sababu za kisiasa tisa na shambulio la kujitoa muhanga dhidi ya msafara wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) huko Mogadishu tarehe 12 Julai, ambapo al-Shabaab walidai kuwajeruhi maofisa wa upelelezi wa Marekani.
Inadhaniwa kuwa "Shambulio la Ramadhan", kampeni ya al-Shabaab ya vurugu "imejikita zaidi katika mji mkuu, na takriban nusu ya operesheni zote za HSM zilifanyika huko Mogadishu".
Shabelle ya Chini & Jubba ya Chini pia zimeshuhudia vita vikali wakati wa nusu ya kwanza ya Ramadhan, pamoja na idadi kadhaa ya mashambulio kutarajiwa kuibuka ghafla," al-Shabaab alisema.
Katika ujumbe mbili uliotumwa tarehe 16 Julai, al-Shabaab ilielezea sababu zake za kufanya vurugu.
"Ramadhan ni mwezi wa Jihadi na kutoa sadaka. Ni muda wa kufanya vitendo vya uadilifu na kutoa shukrani kwa Allah kwa huruma zake," ilisema. "Na njia gani iliyo nzuri ya kufunga Ramadhan na kutoa shukrani kwa Allah kuliko kuchapa shingo za wavamizi na kuharibu matamanio yao!"
Katika jaribio la kuonyesha umoja kukiwa na mgawanyo wa ndani unaoendelea, al-Shabaab ilisema tarehe 24 Julai, "Kama kuna chochote, kinachoibuka haraka katika mashambulio yaliratibiwa ni kipimo bayana cha uimara cha Mujahidina na uwezo wao wa uendeshaji."

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...