Skip to main content

Muheza yatangazaharambee hapo kesho






Halimashauri ya wilaya ya Muheza iliyoko mkoa wa Tanga imeandaa harambee maalumu kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya, wilaya hiyo ilianzishwa toka mwaka 1974 
na ina tarafa 4, kata 37 na vijivi 135 huku ikiwa na vituo viwili tu vya serikali ambavyo havikizi mahitaji kwa upande wa mazingira na katika utoaji wa huduma.
Akiongea na vyombo vya habari kuelekea harambee hiyo, mkuu wa wilaya ya Muheza Mwanaasha Rajabu amesema kuwa tangu alivyoanza Kazi mwaka 2016 amegundua changamoto mbalimbali zinazoikabili wilaya hiyo kuwa ni uhaba wa maji, ukosefu wa ardhi kwa ajili ya kilimo cha mazao ya chakula ambapo ardhi kubwa imechukuliwa na watu binafsi kwa ajili ya kilimo cha mkonge, ubovu wa miundombinu ya Barbara hasa kwa tarafa zilizopo katika maeneo ya milima na changamoto kubwa ni uhaba wa vituo vya afya.
Aidha amesema kuwa kupitia serikali ya awamu ya tano imejitahidi kufanya utatuzi wa baadhi changamoto kwa kujenga Barabara yenye kilometa 34 ambavyo itakamilika kufikia mwaka 2020, kuchimba visima takribani 100 katika vijiji mbalimbali, imetoa milioni 30 kwa ajili ya kuvuta maji mjini na pia rais amefuta hati za mashamba 4 na kuyakabidhi ndani ya halimashauri ili kuigawa kwa wananchi wenye uhitaji.
Pia ameeleza jitihada zinazofanywa na wananchi katika kufanikisha shughuli ya ujenzi wa hospitali ya wilaya na kusema kuwa wadau mbalimbali wamefanikiwa kutoa vifaa vyenye thamani zaidi ya milioni 43.15, serikali imetoa bilioni 2, na halimashauri imetenga bajeti ya milioni 150 ambapo ujenzi umefanikiwa kuanza kwa upande wa jengo la wakina mama na jengo la watoto na yapo katika hatua ya msingi na ili ujenzi wa hospitali nzima ukamilike inahitajika bilioni 11.
Aidha ameweka bayana kuwa kutokana na uhitaji mkubwa wa huduma ya afya kwa wananchi, kuchangishana wao kwa wao wameona itachukua mda mrefu hivyo wameamua kufanya harambee ambayo itafanyika tarehe 16 machi mwaka huu na mgeni rasmi anatalajiwa kuwa makamu wa rais, Samia Suluh Hasani na kuongeza kuwa wote wenye mapenzi mema wanakaribishwa katika harambee hiyo lakini wenye uwezo wa kuto kuanzia kiasi cha milino 1 na kuendelea na itakayofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Golden tulip iliyoko masaki.
Pia ametoa njia mbadala kwa wale wote ambao hawana uwezo wa kutoa kiwango hicho na kusema kuwa wanaweza kutoa chochote kwa namba ya kampuni 395533 yenye kumbukumbu namba 123.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.