Skip to main content

Muheza yatangazaharambee hapo kesho






Halimashauri ya wilaya ya Muheza iliyoko mkoa wa Tanga imeandaa harambee maalumu kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya, wilaya hiyo ilianzishwa toka mwaka 1974 
na ina tarafa 4, kata 37 na vijivi 135 huku ikiwa na vituo viwili tu vya serikali ambavyo havikizi mahitaji kwa upande wa mazingira na katika utoaji wa huduma.
Akiongea na vyombo vya habari kuelekea harambee hiyo, mkuu wa wilaya ya Muheza Mwanaasha Rajabu amesema kuwa tangu alivyoanza Kazi mwaka 2016 amegundua changamoto mbalimbali zinazoikabili wilaya hiyo kuwa ni uhaba wa maji, ukosefu wa ardhi kwa ajili ya kilimo cha mazao ya chakula ambapo ardhi kubwa imechukuliwa na watu binafsi kwa ajili ya kilimo cha mkonge, ubovu wa miundombinu ya Barbara hasa kwa tarafa zilizopo katika maeneo ya milima na changamoto kubwa ni uhaba wa vituo vya afya.
Aidha amesema kuwa kupitia serikali ya awamu ya tano imejitahidi kufanya utatuzi wa baadhi changamoto kwa kujenga Barabara yenye kilometa 34 ambavyo itakamilika kufikia mwaka 2020, kuchimba visima takribani 100 katika vijiji mbalimbali, imetoa milioni 30 kwa ajili ya kuvuta maji mjini na pia rais amefuta hati za mashamba 4 na kuyakabidhi ndani ya halimashauri ili kuigawa kwa wananchi wenye uhitaji.
Pia ameeleza jitihada zinazofanywa na wananchi katika kufanikisha shughuli ya ujenzi wa hospitali ya wilaya na kusema kuwa wadau mbalimbali wamefanikiwa kutoa vifaa vyenye thamani zaidi ya milioni 43.15, serikali imetoa bilioni 2, na halimashauri imetenga bajeti ya milioni 150 ambapo ujenzi umefanikiwa kuanza kwa upande wa jengo la wakina mama na jengo la watoto na yapo katika hatua ya msingi na ili ujenzi wa hospitali nzima ukamilike inahitajika bilioni 11.
Aidha ameweka bayana kuwa kutokana na uhitaji mkubwa wa huduma ya afya kwa wananchi, kuchangishana wao kwa wao wameona itachukua mda mrefu hivyo wameamua kufanya harambee ambayo itafanyika tarehe 16 machi mwaka huu na mgeni rasmi anatalajiwa kuwa makamu wa rais, Samia Suluh Hasani na kuongeza kuwa wote wenye mapenzi mema wanakaribishwa katika harambee hiyo lakini wenye uwezo wa kuto kuanzia kiasi cha milino 1 na kuendelea na itakayofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Golden tulip iliyoko masaki.
Pia ametoa njia mbadala kwa wale wote ambao hawana uwezo wa kutoa kiwango hicho na kusema kuwa wanaweza kutoa chochote kwa namba ya kampuni 395533 yenye kumbukumbu namba 123.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...