Skip to main content

Changamoto mbalimbali kwa wakunga zaelezwa



Picha ya Mussa Khalid
Mkurugezi wa huduma za uuguzi na wakunga kutoka Wizara ya afya,maendeleo ya jamii,jinsi,wazee na watoto Gustav Moyo 
Katibu mkuu wa Chama cha Wakunga Tanzania-TAMA, Dkt. Sebalida Leshabari
Picha ya Mussa Khalid
baadhi ya wadau wakiwemo waandishi wa habari waliohudhuria kwenye hafla hiyo

Na Hellena Matale Dar es salaam
Imeelezwa  kuwa wauguzi na wakunga hapa nchini wamekuwa wakikumbwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kupatwa na matatizo ya kuumwa mgongo hali inayowafanya washindwe  kufanya kazi kwa muda mrefu kama inavyotakiwa.

Hayo yamesemwa na Mkurugezi wa huduma za uuguzi na wakunga kutoka wizara ya afya,maendeleo ya jamii,jinsi,wazee na watoto Gustav Moyo wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari katika warsha ya siku moja iliyoandaliwa na shirika la umoja wa mataifa linalojishuhulisha na idadi ya watu (UNFPA).

Amesema kuwa hapa nchini bado  kuna uhaba wa wakunga na waguzi  hali ambayo imekuwa ikichangia  mkunga mmoja  kuhudumia idadi kubwa ya akina mama wajawazito kwa siku bila kupumzika na ambapo hali hiyo imekua ikiwasabibshia wakunga hao kuiona kazi hiyo kuwa ngumu hata  kuchukua hatua ya kuacha kzai ya ukunga.

Kwa upande wake Katibu mkuu wa Chama cha Wakunga Tanzania-TAMA, Dkt. Sebalida Leshabari ameeleza kuwa kazi ya ukunga ni moja kati  ya kazi ambazo zinahitaji moyo kwani watu wengi hasa wanawake  wamekua wakiimbia kazi hiyo kutokana na mazingira ya kazi kuwa magumu hali ambayo inachangia kuongezeka kwa vifo vya akina mama wajawazito na watoto.

Ametoa wito kwa serikali na wadau wa afya kutengeza mazingira mazuri ambayo yanaweza  kuwavutia watu wengine ili waweze kuingia katika kazi hiyo na endapo wakunga wataongezeka nchini itaweza kusaidia kupunguza vifo  vya  mama na mtoto.


Hata hivyo kongamano la kisayansi la wauguzi na wakunga linalotarajiwa kufanyika Aprili Nne , tano na sita mwaka huu mkoani DODOMA mgeni rasmi katika kongamano hilo anatarajiwa  kuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  UMMY MWALIMU.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.