Skip to main content

Changamoto mbalimbali kwa wakunga zaelezwa



Picha ya Mussa Khalid
Mkurugezi wa huduma za uuguzi na wakunga kutoka Wizara ya afya,maendeleo ya jamii,jinsi,wazee na watoto Gustav Moyo 
Katibu mkuu wa Chama cha Wakunga Tanzania-TAMA, Dkt. Sebalida Leshabari
Picha ya Mussa Khalid
baadhi ya wadau wakiwemo waandishi wa habari waliohudhuria kwenye hafla hiyo

Na Hellena Matale Dar es salaam
Imeelezwa  kuwa wauguzi na wakunga hapa nchini wamekuwa wakikumbwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kupatwa na matatizo ya kuumwa mgongo hali inayowafanya washindwe  kufanya kazi kwa muda mrefu kama inavyotakiwa.

Hayo yamesemwa na Mkurugezi wa huduma za uuguzi na wakunga kutoka wizara ya afya,maendeleo ya jamii,jinsi,wazee na watoto Gustav Moyo wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari katika warsha ya siku moja iliyoandaliwa na shirika la umoja wa mataifa linalojishuhulisha na idadi ya watu (UNFPA).

Amesema kuwa hapa nchini bado  kuna uhaba wa wakunga na waguzi  hali ambayo imekuwa ikichangia  mkunga mmoja  kuhudumia idadi kubwa ya akina mama wajawazito kwa siku bila kupumzika na ambapo hali hiyo imekua ikiwasabibshia wakunga hao kuiona kazi hiyo kuwa ngumu hata  kuchukua hatua ya kuacha kzai ya ukunga.

Kwa upande wake Katibu mkuu wa Chama cha Wakunga Tanzania-TAMA, Dkt. Sebalida Leshabari ameeleza kuwa kazi ya ukunga ni moja kati  ya kazi ambazo zinahitaji moyo kwani watu wengi hasa wanawake  wamekua wakiimbia kazi hiyo kutokana na mazingira ya kazi kuwa magumu hali ambayo inachangia kuongezeka kwa vifo vya akina mama wajawazito na watoto.

Ametoa wito kwa serikali na wadau wa afya kutengeza mazingira mazuri ambayo yanaweza  kuwavutia watu wengine ili waweze kuingia katika kazi hiyo na endapo wakunga wataongezeka nchini itaweza kusaidia kupunguza vifo  vya  mama na mtoto.


Hata hivyo kongamano la kisayansi la wauguzi na wakunga linalotarajiwa kufanyika Aprili Nne , tano na sita mwaka huu mkoani DODOMA mgeni rasmi katika kongamano hilo anatarajiwa  kuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  UMMY MWALIMU.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...