Skip to main content

Wasemavyo wadau kuhusu Al Masry




SIMBA itakwea pipa kesho Jumatano kwenda Misri kumalizana na Al Masry katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini akili aliyofanya kocha wa timu hiyo, Pierre Lechantre imerahisisha kazi kwa vijana wake kuwa nyepesi kabisa.


Vinara hao wa Ligi Kuu Bara wanakwenda katika mchezo huo kusaka ushindi, baada ya kulazimishwa sare ya 2-2 kwenye mechi ya raundi ya kwanza.

Hata hivyo, kabla ya kuondoka jijini Dar es Salaam, Simba ilikataa kucheza mechi zake mbili za ligi dhidi ya Mtibwa Sugar na Njombe Mji tena za ugenini kwa kile ilichodaiwa ni agizo la Lechantre hivyo, kuzusha kelele nyingi mtaani.

Lakini, Kocha Abdallah Kibadeni ‘King’ amefichua alichokifanya Mfaransa huyo kuigomea timu yake kucheza mechi za ligi kabla ya kuvaana na Al Masry, ilikuwa ni akili ya maana kwelikweli. Pia, kwa akili hiyo Simba inaweza kupata ushindi ugenini kwani, kama wangecheza ingweza kuwaletea madhara zaidi.

“Wanacheza mechi ngumu na muhimu na wameipa uzito mkubwa ndio maana wameomba muda wa kutosha ili kujiandaa. Hiyo inaweza kuwa na faida kubwa kwao kwa kupata muda wa kutosha,” alisema Kibadeni na kuongeza;

“Kikosi cha Simba ni kipana, lakini wachezaji wao mahiri ambao wanafanya vizuri msimu huu, wengi ni majeruhi labda waliogopa hilo wanaweza kuwapoteza kama wangeumia kabla ya mechi hiyo.

“Kama watafanya maandalizi muhimu ya kimwili na kiakili itakuwa faida kuwa tayari kupambana na kupata matokeo ambayo wanatarajia, lakini wakishindwa kufanya hivyo wanaweza kushuka morali.”

Naye nyota wa zamani wa timu hiyo, Boniface Pawasa alisema; “Utaratibu huu ulikuwepo muda mrefu kwa timu inapokuwa na ratiba ngumu za kimataifa na Simba inaweza kuwa na faida ya kupata muda wa kutosha wa kujiandaa tofauti kama wangecheza mechi za ligi,

“Wanasafiri umbali mrefu kwenda Misri na muda waliokuwa nao unatosha kabisa kusafiri mapema na kuzoea mazingira na kama kutakuwa na fitna watakabiliana nazo,” alisema.

Hata hivyo, alisema Simba inaweza kupata hasara ya kuwapunguzia morali wachezaji wao kwani, wanapaswa kuwa fiti muda wote kwa maana ya kucheza uwanjani.

“Kama wangecheza mechi za ligi na kushinda ingewaongezea morali na hata wakienda Misri wangekuwa moto, ila kocha ametumia akili kufanya maamuzi hayo,” alisema.

Lakini, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ alikuwa na mtazamo tofauti kwa kusema; “Sidhani kama imefanya maamuzi sahihi, kwani itawaondolea ubora wachezaji kuelekea mchezo huo na wasishangae nyota wanaowategemea wakacheza vibaya dhidi ya Al Masry.

“Wanasema wanaogopa mastaa wao kuumia, hiyo ni mipango ya Mungu unaweza kuumia hata kama ukiwa nyumbani, hivyo Simba hawakuwa sahihi.”

Simba itakayokabiliana na Al Masrty kwenye mchezo huo, itaondoka nchini kesho Jumatano kabla ya Jumamosi kushuka Uwanja wa Port Said kuivaa Waarabu hao, ambao jana usiku walikuwa uwanjani kucheza mechi ya ligi ya nchi yao.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...