Skip to main content

Jamii yatakiwa kusaidia wasiojiweza msimu huu wa sikukuu



Jamii  kote nchini imeombwa kuwasaidia wasiojiweza katika msimu huu wa sikukuu ili wasiojiweza nao wajihisi kama ni sehemu ya jamii hiyo.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Erick inayotoa elimu na Marekebisho kwa Wenye Ulemavu (EMFERD) Josephine Bakhita , Wilayani Mvomero mkoani Morogoro.
Mama Josephine Bakhita akiwa na watoto wenye ulemavu wa viongo na akili. Watoto hao ni wa familia moja ya Mzee Semgweno, wanaoishi katika kijiji Cha Mvomero, Kata na Tafara ya Mvomero, Wilani Mvomero mkoni Morogoro. Mama Josephine Bakhita kupitia Taasisi yake ya EMFERD amekuwa akisaidia familia hiyo kupata mahitaji mbali mbali japo uwezo wa taasisi ya EMFERD haukidhi mahitaji ya familia hiyo na walemavu wengine wanaolelewa na taasisi hiyo.
Bakhita alisema kuwa jamii za walemavu, yatima, wazee na watoto wanaoishi katika mazingira magumu ni vema zikawa zinakumbukwa misimu ya sikuu kwani nao wanahitaji kufurahi pamoja na wana jamii wengine.
“ Wapo watoto wenye ulemavu wa viungo na akili, wapo watoto yatima, wapo wafungwa, wagonjwa wapo wazee, wapo wafungwa katika kipindi hiki cha Pasaka ni muhimu sana jamii hizi zikakumbukwa ili nazo zisijihizi kutengwa na wanajamii wenzao” Alisema Bakhita.
Aliongeza kusema kuwa baadhi ya familia zinakula vizuri na kuvaa vizuri, zipo familia ambazo zinasaza vyakula na hata kutupa jalalani ama kutumia vileo, basi ni vema kwa taasisi, mashirika na watu binafsi kuyafikiria makundi ambayo yamepoteza matumaini na hayana uwezo wa kupata hata mlo mmoja kwa kuwapatia chochote kitu iwe ni mavazi au vyakula kwa lengo la kuzifanya jamii hizo kufurahi na kutohisi kutengwa.
“ Msimu huu wa sikuu ya Pasaka, wakristu wanakumbuka kuteswa, kufa na kufufuka kwa Yesu. Ni kipindi muafaka kwa jamii zetu kurudisha matumaini yaliyokufa ya watu waliokata tamaa kwa kushiriki pamoja nao ili kuwapa faraja na kuifufua mioyo ya watu hao.”  Aliongeza kusema Mama Josephine Bhakita.
Naye  Mlezi wa Familia ya watoto wanne wa familia moja wenye ulemavu wa viungo na akili,Elizabeth Semgweno, alisema kuwa, familia zenye watoto wenye ulemavu wa akili na viungo zinakumbana na changamoto kubwa ya malezi ya watoto hao na wanaiomba jamii kutochoka kuwasaidia.
“Kulea watoto wanne wa familia moja wenye ulemavu wa viungo na akili ni mtihani mkubwa sana. Zipo changamoto nyingi  tunazokumbana nazo, chakula, maradhi na mavazi ni miongoni mwao. Tunaiomba jamii itusaidie walau kipindi hiki cha sikukuu ili nasi pamoja na watoto wetu tupate faraja na kujihisi kuwa jamii ipo pamoja nasi”.  Alisema Eliza.
Na Mwandishi wa EMFERD

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...