Skip to main content

Jamii yatakiwa kusaidia wasiojiweza msimu huu wa sikukuu



Jamii  kote nchini imeombwa kuwasaidia wasiojiweza katika msimu huu wa sikukuu ili wasiojiweza nao wajihisi kama ni sehemu ya jamii hiyo.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Erick inayotoa elimu na Marekebisho kwa Wenye Ulemavu (EMFERD) Josephine Bakhita , Wilayani Mvomero mkoani Morogoro.
Mama Josephine Bakhita akiwa na watoto wenye ulemavu wa viongo na akili. Watoto hao ni wa familia moja ya Mzee Semgweno, wanaoishi katika kijiji Cha Mvomero, Kata na Tafara ya Mvomero, Wilani Mvomero mkoni Morogoro. Mama Josephine Bakhita kupitia Taasisi yake ya EMFERD amekuwa akisaidia familia hiyo kupata mahitaji mbali mbali japo uwezo wa taasisi ya EMFERD haukidhi mahitaji ya familia hiyo na walemavu wengine wanaolelewa na taasisi hiyo.
Bakhita alisema kuwa jamii za walemavu, yatima, wazee na watoto wanaoishi katika mazingira magumu ni vema zikawa zinakumbukwa misimu ya sikuu kwani nao wanahitaji kufurahi pamoja na wana jamii wengine.
“ Wapo watoto wenye ulemavu wa viungo na akili, wapo watoto yatima, wapo wafungwa, wagonjwa wapo wazee, wapo wafungwa katika kipindi hiki cha Pasaka ni muhimu sana jamii hizi zikakumbukwa ili nazo zisijihizi kutengwa na wanajamii wenzao” Alisema Bakhita.
Aliongeza kusema kuwa baadhi ya familia zinakula vizuri na kuvaa vizuri, zipo familia ambazo zinasaza vyakula na hata kutupa jalalani ama kutumia vileo, basi ni vema kwa taasisi, mashirika na watu binafsi kuyafikiria makundi ambayo yamepoteza matumaini na hayana uwezo wa kupata hata mlo mmoja kwa kuwapatia chochote kitu iwe ni mavazi au vyakula kwa lengo la kuzifanya jamii hizo kufurahi na kutohisi kutengwa.
“ Msimu huu wa sikuu ya Pasaka, wakristu wanakumbuka kuteswa, kufa na kufufuka kwa Yesu. Ni kipindi muafaka kwa jamii zetu kurudisha matumaini yaliyokufa ya watu waliokata tamaa kwa kushiriki pamoja nao ili kuwapa faraja na kuifufua mioyo ya watu hao.”  Aliongeza kusema Mama Josephine Bhakita.
Naye  Mlezi wa Familia ya watoto wanne wa familia moja wenye ulemavu wa viungo na akili,Elizabeth Semgweno, alisema kuwa, familia zenye watoto wenye ulemavu wa akili na viungo zinakumbana na changamoto kubwa ya malezi ya watoto hao na wanaiomba jamii kutochoka kuwasaidia.
“Kulea watoto wanne wa familia moja wenye ulemavu wa viungo na akili ni mtihani mkubwa sana. Zipo changamoto nyingi  tunazokumbana nazo, chakula, maradhi na mavazi ni miongoni mwao. Tunaiomba jamii itusaidie walau kipindi hiki cha sikukuu ili nasi pamoja na watoto wetu tupate faraja na kujihisi kuwa jamii ipo pamoja nasi”.  Alisema Eliza.
Na Mwandishi wa EMFERD

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...