Skip to main content

Jamii yatakiwa kusaidia wasiojiweza msimu huu wa sikukuu



Jamii  kote nchini imeombwa kuwasaidia wasiojiweza katika msimu huu wa sikukuu ili wasiojiweza nao wajihisi kama ni sehemu ya jamii hiyo.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Erick inayotoa elimu na Marekebisho kwa Wenye Ulemavu (EMFERD) Josephine Bakhita , Wilayani Mvomero mkoani Morogoro.
Mama Josephine Bakhita akiwa na watoto wenye ulemavu wa viongo na akili. Watoto hao ni wa familia moja ya Mzee Semgweno, wanaoishi katika kijiji Cha Mvomero, Kata na Tafara ya Mvomero, Wilani Mvomero mkoni Morogoro. Mama Josephine Bakhita kupitia Taasisi yake ya EMFERD amekuwa akisaidia familia hiyo kupata mahitaji mbali mbali japo uwezo wa taasisi ya EMFERD haukidhi mahitaji ya familia hiyo na walemavu wengine wanaolelewa na taasisi hiyo.
Bakhita alisema kuwa jamii za walemavu, yatima, wazee na watoto wanaoishi katika mazingira magumu ni vema zikawa zinakumbukwa misimu ya sikuu kwani nao wanahitaji kufurahi pamoja na wana jamii wengine.
“ Wapo watoto wenye ulemavu wa viungo na akili, wapo watoto yatima, wapo wafungwa, wagonjwa wapo wazee, wapo wafungwa katika kipindi hiki cha Pasaka ni muhimu sana jamii hizi zikakumbukwa ili nazo zisijihizi kutengwa na wanajamii wenzao” Alisema Bakhita.
Aliongeza kusema kuwa baadhi ya familia zinakula vizuri na kuvaa vizuri, zipo familia ambazo zinasaza vyakula na hata kutupa jalalani ama kutumia vileo, basi ni vema kwa taasisi, mashirika na watu binafsi kuyafikiria makundi ambayo yamepoteza matumaini na hayana uwezo wa kupata hata mlo mmoja kwa kuwapatia chochote kitu iwe ni mavazi au vyakula kwa lengo la kuzifanya jamii hizo kufurahi na kutohisi kutengwa.
“ Msimu huu wa sikuu ya Pasaka, wakristu wanakumbuka kuteswa, kufa na kufufuka kwa Yesu. Ni kipindi muafaka kwa jamii zetu kurudisha matumaini yaliyokufa ya watu waliokata tamaa kwa kushiriki pamoja nao ili kuwapa faraja na kuifufua mioyo ya watu hao.”  Aliongeza kusema Mama Josephine Bhakita.
Naye  Mlezi wa Familia ya watoto wanne wa familia moja wenye ulemavu wa viungo na akili,Elizabeth Semgweno, alisema kuwa, familia zenye watoto wenye ulemavu wa akili na viungo zinakumbana na changamoto kubwa ya malezi ya watoto hao na wanaiomba jamii kutochoka kuwasaidia.
“Kulea watoto wanne wa familia moja wenye ulemavu wa viungo na akili ni mtihani mkubwa sana. Zipo changamoto nyingi  tunazokumbana nazo, chakula, maradhi na mavazi ni miongoni mwao. Tunaiomba jamii itusaidie walau kipindi hiki cha sikukuu ili nasi pamoja na watoto wetu tupate faraja na kujihisi kuwa jamii ipo pamoja nasi”.  Alisema Eliza.
Na Mwandishi wa EMFERD

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.