Skip to main content

Kwa mbinu hizi mara pa..Al Masry Out



SIMBA haitaki mchezo linapokuja suala la mechi za kimataifa. Baada ya kutambua ina mtihani mgumu, imefanya jambo la maana ikiiwahi mapema Al Masry ya Misri itakaoumana nao wikiendi hii katika mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho.


Kwanza Simba imeamua kubadilisha mfumo wao wa uchezaji watakapoenda kucheza na Wamisri, pia wakaamu kumtanguliza kigogo wao, Musley Ruwey nchini humo ili kuweka mambo sawa na kudhibiti hila zozote za wapinzani wao.

Simba imepanga kuondoka kesho Jumatano, baada ya mipango yao ya kuondoka jana Jumatatu kukwama, lakini hilo limelisaidia benchi la ufundi kupiga akili ya ziada na kubadilisha mfumo wa uchezaji kwa vijana wao.

Benchi hilo lililopo chini ya Kocha Pierre Lechantre limeanza mazoezi ya mfumo mpya wa kupata ushindi ugenini baada ya sare ya mabao 2-2 nyumbani katika mechi ya kwanza ya michuano hiyo ya CAF iliyopigwa Jumatano iliyopita jijini Dar.

Kocha Msaidizi wa Simba, Masudi Djuma alisema hawataenda kuutumia mfumo waliouzoea kwa muda mrefu wa 3-5-2 na badala yake watatumia mifumo miwili kamambe ya kuwazima mapema Waarabu hao kutoka Mji wa Port Said.

“Tutacheza mfumo wa 4-5-1 au 4-4-2, ili kuwa na wachezaji wengi katika kuzuia lakini hata kushambulia.

“Tutakuwa makini na kupunguza makosa ambayo tulifanya kwenye mechi ya kwanza,” alisema Djuma.

Wakati Djuma akisema hayo, bosi wake Mfaransa Lechantre alitamba kama Al Masry waliweza kupata mabao mawili katika mechi ya ugenini, hata wao wana uwezo huo kwani mpira unaochezwa ni ule ule.

“Kweli Al Masry wana timu nzuri na wachezaji wazuri, ila hata Simba nayo ni hivyo hivyo, kwa maandalizi tuliyoyafanya tuna imani yatakuwa na msaada kwetu katika mechi ya marudiano tunaoutambua utakuwa mgumu kwetu,” alisema Lechantre.

MAPEMA TU

Kutokana na umuhimu wa mchezo huo, Simba itakwenda nchini Misri keshokutwa Jumatano ili kuzoea mazingira mapema kabla ya mchezo wa marudiano utakaopigwa Jumamosi hii.

Habari mbaya ni, pamoja na Simba kuwahi nchini humo, rekodi zinaonyesha haijawahi kupata ushindi wowote katika ardhi ya Waarabu ndani ya dakika 90.

Simba imewahi kucheza na timu za Ismailia, Al Ahly na Zamalek za Misri na kupoteza michezo hiyo, japo ilifaidika kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Zamalek mwaka 2003 na kusonga mbele kutinga makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Akizungumzia rekodi hiyo mbovu, Djuma alisema timu yao sasa imebadilika na wanaweza kuvunja mwiko huo.

“Kuhusu Simba kutokuwa na rekodi nzuri kutoka katika timu za Kiarabu au ukanda huo hilo lilikuwa miaka ya nyuma na hii ni timu tofauti.

“Simba hii ni mpya kwani Al Masry wana makosa mengi ambayo waliyafanya katika mechi ya mwanzo lakini hata tulivyowaangalia katika video tumeyaona makosa na tunaweza kuyatumia na tukapata matokeo ya kusonga mbele,” alisema.

“Rekodi ipo kwa ajili ya kuvunjwa, hivyo kutokuwa na rekodi nzuri bado tunaweza kuivunja ingawa si jambo rahisi kwani wapinzani nao wana timu nzuri, ila tunaenda kupambana tupate matokeo ya ushindi kwao kwani inawezekana,” alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.