Skip to main content

Spika Mstaafu:Kwa kwa kujitoa kwa dhati katika mambo mbali mbali ya kijamii kutawajengea mwonekano wanawake

Shirika lisilo la kiserikali la TGNP Mtandao leo limekutana na kufanya semina kwa 
lengo la kuwajengea uwezo Madiwani wanawake  .

katika Warsha hiyo mambo kadhaa ya kijinsia yalizungumzwa huku mgeni rasmi 
kuhusiana na mada hizo akiwa ni Anna Semamba Makinda ambaye ameshauri madiwani
hao kupambana na kufikia rekodi kubwa za uongozi kama kufikia rekodi ya kuwa
wabunge wakuchaguliwa majimboni.


Alisema kuwa kuingia katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020 maandali hayo anajua
kuwa yameanza kwani muda uliobaki ni mdogo, kwa hiyo kwa mipango  ni bora wawe 
wameianze mapema.

Spika huyo mstaafu amewahi kuwa  mbunge wa jimbo la Njombe Kusini katika bunge la
kitaifa nchini Tanzania ambapo pia alikuwa Naibu Spika wa Bunge tangu 2006 hadi 2010,
Spika wa Bunge la Tanzania na Mwaka wa 1990 na 1995 alikuwa Waziri wa 
Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto ambapo katika warsha hiyo leo alikuwa kivutiwa
kwa madiwani hao wa Dar es Salaam.

"Viti maalum sio vizuri sana  kwani nafasi hizo  ata kuzuriwa jambo  na kunyang'anywa
nafasi  hiyo ni rahisi kwani kwa diwani aliyechaguliwa maamuzi lazima yatakuwa ya watu
waliokuchagua,"alisema Mama Makinda.


Alisema kwa sasa wenye malengo mbali mbali katika kushiriki jambo la uongozi 
wanasehemu kubwa ya kuonekana kama kujitoa kwa dhati katika mambo mbali mbali ya
kijamii ambapo hali hiyo itachochea mwonekano wao.


Kwa upande wake Mkuu wa idara ya Ujenzi wa nguvu za pamoja wa TGNP Mtandao Bi. Grace Kisetu alisema kuwa wao kama shirika la kutetea haki za wanawake wapo katika mpango kabambe wa kupigania ongezeko la wanawake katika nafasi za uongozi na maamuzi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.