Skip to main content

TRA yaagiza biashara zote, yakiwamo maduka ilizofunga katika mikoa ya kusini Lindi na Mtwara

Image result for Elijah Mwandumbya
 
Elijah Mwandumbya

 
 
Mamlaka  ya Mapato Tanzania (TRA), imeagiza biashara zote, yakiwamo maduka ilizofunga katika mikoa ya kusini Lindi na Mtwara, zifunguliwe na kuendelea kuhudumia jamii na Serikali iweze kupata kodi yake.

Kamishna wa kodi ya mapato za ndani,Elijah Mwandumbya,ame kwenye kikao cha pamoja kati yake na wafanyabiashara wa Mkoa wa Lindi.

Mwandumbya alitoa agizo hilo, baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wadau hao kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiwamo wa vifaa vya ujenzi, soda na vyakula katika mikoa hiyo, wamelazimika kuzifunga kwa madai kukadiliwa kodi kubwa tafauti na kile wanachokipata.

Kamishna huyo alisema uamuzi wa kufunga biashara sio jambo la busara, kwani licha ya kuwaathiri wafanyabiashara wenyewe, pia athari huigusa Serikali, kutokana na sehemu kubwa ya mapato yake kutokana na kodi zinazolipwa na wafanyabiashara.

“Sisi TRA ni wakala tu wa kukusanya maduhuri ya Serikali, leo mnapofunga mnategemea inapata wapi fedha za kutekeleza masuala ya maendeleo kwa jamii, ”alisema Mwandumbya.

Alisema Serikali inapokusanya kodi inaiwezesha kutekeleza kwa majukumu yake, ukiwamo ujenzi wa vituo vya kutolea huduma kwa jamii, ununuzi wa dawa na vifaa tiba, miundombinu ya mawasiliano ya barabara, umeme na nyinginezo.

Aliwataka wafanyabiashara kuhakikisha wanaweka vizuri mahesabu yao, ili kuepuka usumbufu wa kukadiliwa kiwango kikubwa cha kodi tafauti na kile wanachokipata.

Baadhi ya wafanyabiashara, Obodea Swai, Said Namachokole, Ally Pepe, Selemani Ahamadi na Ally Bushiri walisema hivi sasa wafanyabiashara wengi wamelazimika kufunga shughuli zao kutokana na kiwango kikubwa cha kodi wanayokadiliwa.

Pia walimueleza Kamishna huyo kuwa hawakatai kulipa kodi kama sheria inavyowataka, lakini wanashindwa kutokana na mzunguko mdogo wa kifedha unaochangiwa na kukosekana kwa viwanda katika Mkoa wa Lindi.

“Tambueni watu mnaowaleta kuhudumu huku mnawapeleka mkoa masikini, hivyo msiwapangie viwango vikubwa vya ukusanyaji kodi,” alisema Namachokole.

Hatua hiyo ya TRA imechukuliwa siku chache baada ya Rais John Magufuli kutoa maelekezo ya kuangaliwa upya kodi wanazotozwa wafanyabiashara, kutokana na malalamiko mengi ya kukadiliwa kodi kubwa.

Akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa awamu ya pili ya reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Morogoro, Jumatato iliyopita, Rais alimwagiza Waziri wa Fedha na Mipango na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha wanaondoa kero za kodi ili kutoa hamasa kwa wananchi kulipa kodi kwa manufaa ya taifa.

Alisema ni vyema TRA ikaangalia kodi inazotoza kwa kuwa inawezekana zingine ni kubwa mno kuliko miradi ambayo wananchi wanatekeleza au kuwekeza.

Kwa mujibu wa Rais Magufuli, badala ya kuwa motisha kwa walipakodi, inakuwa kero kwa walipakodi, hivyo badala ya kulipa kodi wanabuni mbinu za kuwepa kodi wakati wangeelimishwa vizuri, wangeweza kulipa kodi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...