Skip to main content

TRA yaagiza biashara zote, yakiwamo maduka ilizofunga katika mikoa ya kusini Lindi na Mtwara

Image result for Elijah Mwandumbya
 
Elijah Mwandumbya

 
 
Mamlaka  ya Mapato Tanzania (TRA), imeagiza biashara zote, yakiwamo maduka ilizofunga katika mikoa ya kusini Lindi na Mtwara, zifunguliwe na kuendelea kuhudumia jamii na Serikali iweze kupata kodi yake.

Kamishna wa kodi ya mapato za ndani,Elijah Mwandumbya,ame kwenye kikao cha pamoja kati yake na wafanyabiashara wa Mkoa wa Lindi.

Mwandumbya alitoa agizo hilo, baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wadau hao kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiwamo wa vifaa vya ujenzi, soda na vyakula katika mikoa hiyo, wamelazimika kuzifunga kwa madai kukadiliwa kodi kubwa tafauti na kile wanachokipata.

Kamishna huyo alisema uamuzi wa kufunga biashara sio jambo la busara, kwani licha ya kuwaathiri wafanyabiashara wenyewe, pia athari huigusa Serikali, kutokana na sehemu kubwa ya mapato yake kutokana na kodi zinazolipwa na wafanyabiashara.

“Sisi TRA ni wakala tu wa kukusanya maduhuri ya Serikali, leo mnapofunga mnategemea inapata wapi fedha za kutekeleza masuala ya maendeleo kwa jamii, ”alisema Mwandumbya.

Alisema Serikali inapokusanya kodi inaiwezesha kutekeleza kwa majukumu yake, ukiwamo ujenzi wa vituo vya kutolea huduma kwa jamii, ununuzi wa dawa na vifaa tiba, miundombinu ya mawasiliano ya barabara, umeme na nyinginezo.

Aliwataka wafanyabiashara kuhakikisha wanaweka vizuri mahesabu yao, ili kuepuka usumbufu wa kukadiliwa kiwango kikubwa cha kodi tafauti na kile wanachokipata.

Baadhi ya wafanyabiashara, Obodea Swai, Said Namachokole, Ally Pepe, Selemani Ahamadi na Ally Bushiri walisema hivi sasa wafanyabiashara wengi wamelazimika kufunga shughuli zao kutokana na kiwango kikubwa cha kodi wanayokadiliwa.

Pia walimueleza Kamishna huyo kuwa hawakatai kulipa kodi kama sheria inavyowataka, lakini wanashindwa kutokana na mzunguko mdogo wa kifedha unaochangiwa na kukosekana kwa viwanda katika Mkoa wa Lindi.

“Tambueni watu mnaowaleta kuhudumu huku mnawapeleka mkoa masikini, hivyo msiwapangie viwango vikubwa vya ukusanyaji kodi,” alisema Namachokole.

Hatua hiyo ya TRA imechukuliwa siku chache baada ya Rais John Magufuli kutoa maelekezo ya kuangaliwa upya kodi wanazotozwa wafanyabiashara, kutokana na malalamiko mengi ya kukadiliwa kodi kubwa.

Akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa awamu ya pili ya reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Morogoro, Jumatato iliyopita, Rais alimwagiza Waziri wa Fedha na Mipango na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha wanaondoa kero za kodi ili kutoa hamasa kwa wananchi kulipa kodi kwa manufaa ya taifa.

Alisema ni vyema TRA ikaangalia kodi inazotoza kwa kuwa inawezekana zingine ni kubwa mno kuliko miradi ambayo wananchi wanatekeleza au kuwekeza.

Kwa mujibu wa Rais Magufuli, badala ya kuwa motisha kwa walipakodi, inakuwa kero kwa walipakodi, hivyo badala ya kulipa kodi wanabuni mbinu za kuwepa kodi wakati wangeelimishwa vizuri, wangeweza kulipa kodi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.