Skip to main content

Chadema :Viongozi sita wa upinzani waachiliwa kwa dhamana


Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema, Freeman Mbowe katika mahakama ya KisutuHaki miliki ya pichaCHADEMA MEDIA
Image captionMwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema, Freeman Mbowe katika mahakama ya Kisutu

Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imewaachia huru kwa dhamana viongozi sita wa Chadema pasipo viongozi hao kuwepo mahakamani
Hata hivyo watatakiwa kuripoti kituo cha polisi Kila siku ya Alhamisi.
Akitoa uamuzi wake, Hakimu Mkazi Wilbard Mashauri amewataka washtakiwa hao kuwa na wadhamini wawili kila mmoja na kusaini kwa maandishi dhamana ya Sh milioni 20."Kila mshtakiwa atasaini dhamana ya maandishi ya Sh milioni 20, wadhamini pia watasaini kiwango hicho, washtakiwa wakiwa nje kwa dhamana wanatakiwa kuripoti polisi mara moja kwa wiki, ambayo ni kila siku ya Alhamisi," amesema Hakimu Mashauri.
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa ni miongoni mwa wanachana na viongozi wa juu wa Chadema waliofika kufuatilia mwenendo wa kesi inayowakabili Mbowe na viongozi wengine wa chama.
Wafuasi wa chama hicho pia walijitokeza wakiwa nje ya mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam wakisubiri uamuzi wa mahakama juu ya rufaa .

Freeman MboweHaki miliki ya pichaCHADEMAMEDIA / TWITTER
Image captionKiongozi wa Chadema Freeman Mbowe (kulia) ni mmoja waliosomewa mashtaka

Viongozi hao walikamatwa Jumanne wiki hii na kufikishwa mahakamani ambapo wanakabiliwa na makosa manane ikiwa pamoa na uchochezi na kukusanyika katika mkutano wa hadhara pasipo na kibali.
Awali wakili wa serikali Faraja Nchimbi alisema kosa lao la kwanza ni kuandaa mikusanyiko ama maandamano yasiyo na uhalali.
Miongoni mwa mashtaka waliyosomewa ni pamoja na maandamano yaliyosababisha kifo cha mwanafunzi wa chuo cha NIT Akwilina Akwiline.
Wanashtakiwa pia kuendelea kufanya mkusanyiko usio halali wilayani Kinondoni shtaka linalowakabili washtakiwa wote.
Washtakiwa wote walikana mashtaka yote dhidi yao ambapo Wakili Nchimbi alidai upelelezi wa kesi hiyo umekamilika na aliomba tarehe kwa ajili ya kuwasomea maelezo ya awali.
Awali kupitia afisa habari wa Tumaini Makene, Chama hicho kililaani vikali kukamatwa kwa viongozi wao na kusema ''Zimekua ni sarakasi dhidi ya upinzani...njama hizi dhidi viongozi wetu hatutaweza kuzinyamazia, tutaendelea kuzilaani na tunaangalia uwezekano wa kuchukua hatua za kisheria''.Source BBC.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.