Skip to main content

Wenye matatizo ya macho wakadiriwa kuwa ni takribani 1,740,000 wenye matatizo ya macho







Ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya utoaji elimu juu ya ugonjwa wa shinikizo la macho ambayo huadhimishwa duniani kote, takwimu za shirika za afya duniani zinaonesha kwamba Tanzania inakadiriwa kuwa na watu 1,740,000 wenye matatizo yakutoona vizuri.

Akiongea na vyombo vya habari Leo makao makuu ya Wizara ya afya, naibu waziri wa afya, maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto Faustine ndugulile, amesema kuwa maadhimisho hayo yalianzishwa kwa lengo la kuongeza uelewa kwa wananchi kuhusu ugonjwa wa shinikisho la macho ili kuweza kupunguza idadi ya watu wasio na uwezo wa kuona.

Pia amesema kuwa katika maadhimisho hayo kauli mbiu ni "okoa uoni wa macho yako" na kuongeza kuwa kauli hiyo ni sambamba na ujumbe mahususi kwa jamii kwenda kwenye vituo vya tiba kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa tatizo la shinikizo la macho na kusisitiza kuwa kila Mwananchi anapaswa kupima afya ya macho angala Mara moja kwa mwaka.

Aidha amebainisha kuwa waathiriwa wakubwa ni watu kutoka bara la Afrika ikiwemo Tanzania na rika linaloathirika zaidi ni watu wenye umri kuanzia miaka 40 na kuendela, na huanza na dalili ya kutoona mbali na pia hutokea kwa kuridhishana kifamilia na pia ugonjwa huzidi kadiri umri wa kuishi unapokuwa mkubwa.

Pia amesema kuwa kutakuwa na shughuli za elimu ya afya ya macho pamoja na upimaji wa afya ya macho kwenye hospitali mablimbali hapa nchini kwa wiki nzima kuanzia tarehe 11-17 machi kwa wale wote watakaojitokeza kwenye kliniki ya macho hivyo amewahimiza wananchi wote kujitokeza kwa wingi ili kiweza kupima afya ya macho.

Pia amesisitiza kuwa serikali kwa kushirikiana na wadau inaendelea kuboresha miundombinu pamoja na kuongeza wataalamu wa afya ya macho, vifaa na tiba ili kusogeza huduma za uchunguzi na tiba kwa matatizo ya macho ikiwemo shinikizo la macho karibu zaidi na wananchi ili kupunguza umbali wa kifuata huduma ya macho na kuongeza kuwa serikali itasimamia na kuhakikisha hali ya upatikanaji wa dawa za macho katika vituo vya tiba inazidi kuimarika zaidi.

Mwisho naibu waziri amewahasa wananchi kujijengea utaratibu wa kifanya mazoezi ya mwili na kuepuka kula vyakula visivyofaa na vyenye mafuta mengi na kusema kuwa wasipokuwa na utaratibu huo itapelekea magonjwa yasiyoambukizwa kuongezeka jambo ambalo litaigharimu serikali kwa matibabu ya magonjwa hayo yana gharama kubwa za matibabu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...