Skip to main content

Wenye matatizo ya macho wakadiriwa kuwa ni takribani 1,740,000 wenye matatizo ya macho







Ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya utoaji elimu juu ya ugonjwa wa shinikizo la macho ambayo huadhimishwa duniani kote, takwimu za shirika za afya duniani zinaonesha kwamba Tanzania inakadiriwa kuwa na watu 1,740,000 wenye matatizo yakutoona vizuri.

Akiongea na vyombo vya habari Leo makao makuu ya Wizara ya afya, naibu waziri wa afya, maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto Faustine ndugulile, amesema kuwa maadhimisho hayo yalianzishwa kwa lengo la kuongeza uelewa kwa wananchi kuhusu ugonjwa wa shinikisho la macho ili kuweza kupunguza idadi ya watu wasio na uwezo wa kuona.

Pia amesema kuwa katika maadhimisho hayo kauli mbiu ni "okoa uoni wa macho yako" na kuongeza kuwa kauli hiyo ni sambamba na ujumbe mahususi kwa jamii kwenda kwenye vituo vya tiba kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa tatizo la shinikizo la macho na kusisitiza kuwa kila Mwananchi anapaswa kupima afya ya macho angala Mara moja kwa mwaka.

Aidha amebainisha kuwa waathiriwa wakubwa ni watu kutoka bara la Afrika ikiwemo Tanzania na rika linaloathirika zaidi ni watu wenye umri kuanzia miaka 40 na kuendela, na huanza na dalili ya kutoona mbali na pia hutokea kwa kuridhishana kifamilia na pia ugonjwa huzidi kadiri umri wa kuishi unapokuwa mkubwa.

Pia amesema kuwa kutakuwa na shughuli za elimu ya afya ya macho pamoja na upimaji wa afya ya macho kwenye hospitali mablimbali hapa nchini kwa wiki nzima kuanzia tarehe 11-17 machi kwa wale wote watakaojitokeza kwenye kliniki ya macho hivyo amewahimiza wananchi wote kujitokeza kwa wingi ili kiweza kupima afya ya macho.

Pia amesisitiza kuwa serikali kwa kushirikiana na wadau inaendelea kuboresha miundombinu pamoja na kuongeza wataalamu wa afya ya macho, vifaa na tiba ili kusogeza huduma za uchunguzi na tiba kwa matatizo ya macho ikiwemo shinikizo la macho karibu zaidi na wananchi ili kupunguza umbali wa kifuata huduma ya macho na kuongeza kuwa serikali itasimamia na kuhakikisha hali ya upatikanaji wa dawa za macho katika vituo vya tiba inazidi kuimarika zaidi.

Mwisho naibu waziri amewahasa wananchi kujijengea utaratibu wa kifanya mazoezi ya mwili na kuepuka kula vyakula visivyofaa na vyenye mafuta mengi na kusema kuwa wasipokuwa na utaratibu huo itapelekea magonjwa yasiyoambukizwa kuongezeka jambo ambalo litaigharimu serikali kwa matibabu ya magonjwa hayo yana gharama kubwa za matibabu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.