Skip to main content

Wekundu wa Msimbazi wapania kuikalisha Al Masry ya Misri leo



Klabu ya Simba leo inateremka Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam  kumenyana na Al Masry ya Misri katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika.
Tokeo la picha la simba 2018

Mchezo huo utakaoanza Saa 12:00 jioni ili kuwapa fursa watazamaji wengi kujitokeza uwanjani baada ya pilika za kutwa za kujitafutia riziki, unatarajiwa kuwa na ushindani mkali.

Hiyo inatokana na timu zote kukutana zikiwa katika viwango vizuri na pia zina wachezaji bora, damu mchanganyiko kwenye vikosi vyao kuanzia vijana wadogo na wakubwa wenye uzoefu.

Simba ya kocha Mfaransa, Pierre Lechantre imefika hatua hii baada ya kuitoa Gendarmerie Tnare kwa jumla ya mabao 5-0 ikishinda 4-0 Dar es Salaam na kwenda kushinda 1-0 Djibouti City, wakati Al Masry ya kocha mzalendo, Hossam Hassan iliing’oa Green Buffaloes kwa jumla ya mabao 5-2, ikishinda 4-0 Cairo na kwenda kufungwa 2-1.  
Baada ya matoeko hayo katika Raundi ya Awali ya mashindano, sasa timu bora zinazofanya vizuri hadi kwenye Ligi Kuu za nchini mwao zinakutana katika Raundi ya Kwanza.  
Kocha Lechantre aliyejiunga na Simba SC Januari tu kuchukua nafasi ya Mcameroon, Joseph Marius Omog anaanini timu yake iko tayari kwa changamoto dhidi ya Al Masry.
Lechantre amesema wachezaji wake wako vizuri na anatarajia watapata matokeo mazuri kwenye mchezo wa leo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa timu hiyo. 
Nahodha John Raphael Bocco alisema jana kwamba pamoja na ubora wa wapinzani wao, Al Masry, lakini watapambana kuhakikisha wanapata matokeo mazuri leo.
Simba SC imekuwa kambini katika hoteli ya Sea Scape Kunduchi, Dar es Salaam ikifanya mazoezi Uwanja wa Boko Veterani tangu baada ya mchezo dhidi ya Stand United ya Shinyanga wakitoa sare ya 3-3 katika Ligi Kuu Ijumaa iliyopita.
Al Masry wapo Dar es Salaam tangu Jumamosi na wamefikia katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski huku wakifanya mazoezi Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam.   
Kila la heri Simba SC. Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania. Amin.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.