Skip to main content

Wekundu wa Msimbazi wapania kuikalisha Al Masry ya Misri leo



Klabu ya Simba leo inateremka Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam  kumenyana na Al Masry ya Misri katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika.
Tokeo la picha la simba 2018

Mchezo huo utakaoanza Saa 12:00 jioni ili kuwapa fursa watazamaji wengi kujitokeza uwanjani baada ya pilika za kutwa za kujitafutia riziki, unatarajiwa kuwa na ushindani mkali.

Hiyo inatokana na timu zote kukutana zikiwa katika viwango vizuri na pia zina wachezaji bora, damu mchanganyiko kwenye vikosi vyao kuanzia vijana wadogo na wakubwa wenye uzoefu.

Simba ya kocha Mfaransa, Pierre Lechantre imefika hatua hii baada ya kuitoa Gendarmerie Tnare kwa jumla ya mabao 5-0 ikishinda 4-0 Dar es Salaam na kwenda kushinda 1-0 Djibouti City, wakati Al Masry ya kocha mzalendo, Hossam Hassan iliing’oa Green Buffaloes kwa jumla ya mabao 5-2, ikishinda 4-0 Cairo na kwenda kufungwa 2-1.  
Baada ya matoeko hayo katika Raundi ya Awali ya mashindano, sasa timu bora zinazofanya vizuri hadi kwenye Ligi Kuu za nchini mwao zinakutana katika Raundi ya Kwanza.  
Kocha Lechantre aliyejiunga na Simba SC Januari tu kuchukua nafasi ya Mcameroon, Joseph Marius Omog anaanini timu yake iko tayari kwa changamoto dhidi ya Al Masry.
Lechantre amesema wachezaji wake wako vizuri na anatarajia watapata matokeo mazuri kwenye mchezo wa leo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa timu hiyo. 
Nahodha John Raphael Bocco alisema jana kwamba pamoja na ubora wa wapinzani wao, Al Masry, lakini watapambana kuhakikisha wanapata matokeo mazuri leo.
Simba SC imekuwa kambini katika hoteli ya Sea Scape Kunduchi, Dar es Salaam ikifanya mazoezi Uwanja wa Boko Veterani tangu baada ya mchezo dhidi ya Stand United ya Shinyanga wakitoa sare ya 3-3 katika Ligi Kuu Ijumaa iliyopita.
Al Masry wapo Dar es Salaam tangu Jumamosi na wamefikia katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski huku wakifanya mazoezi Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam.   
Kila la heri Simba SC. Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania. Amin.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...