Skip to main content

Wekundu wa Msimbazi wapania kuikalisha Al Masry ya Misri leo



Klabu ya Simba leo inateremka Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam  kumenyana na Al Masry ya Misri katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika.
Tokeo la picha la simba 2018

Mchezo huo utakaoanza Saa 12:00 jioni ili kuwapa fursa watazamaji wengi kujitokeza uwanjani baada ya pilika za kutwa za kujitafutia riziki, unatarajiwa kuwa na ushindani mkali.

Hiyo inatokana na timu zote kukutana zikiwa katika viwango vizuri na pia zina wachezaji bora, damu mchanganyiko kwenye vikosi vyao kuanzia vijana wadogo na wakubwa wenye uzoefu.

Simba ya kocha Mfaransa, Pierre Lechantre imefika hatua hii baada ya kuitoa Gendarmerie Tnare kwa jumla ya mabao 5-0 ikishinda 4-0 Dar es Salaam na kwenda kushinda 1-0 Djibouti City, wakati Al Masry ya kocha mzalendo, Hossam Hassan iliing’oa Green Buffaloes kwa jumla ya mabao 5-2, ikishinda 4-0 Cairo na kwenda kufungwa 2-1.  
Baada ya matoeko hayo katika Raundi ya Awali ya mashindano, sasa timu bora zinazofanya vizuri hadi kwenye Ligi Kuu za nchini mwao zinakutana katika Raundi ya Kwanza.  
Kocha Lechantre aliyejiunga na Simba SC Januari tu kuchukua nafasi ya Mcameroon, Joseph Marius Omog anaanini timu yake iko tayari kwa changamoto dhidi ya Al Masry.
Lechantre amesema wachezaji wake wako vizuri na anatarajia watapata matokeo mazuri kwenye mchezo wa leo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa timu hiyo. 
Nahodha John Raphael Bocco alisema jana kwamba pamoja na ubora wa wapinzani wao, Al Masry, lakini watapambana kuhakikisha wanapata matokeo mazuri leo.
Simba SC imekuwa kambini katika hoteli ya Sea Scape Kunduchi, Dar es Salaam ikifanya mazoezi Uwanja wa Boko Veterani tangu baada ya mchezo dhidi ya Stand United ya Shinyanga wakitoa sare ya 3-3 katika Ligi Kuu Ijumaa iliyopita.
Al Masry wapo Dar es Salaam tangu Jumamosi na wamefikia katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski huku wakifanya mazoezi Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam.   
Kila la heri Simba SC. Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania. Amin.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...