Skip to main content

LIVERPOOL KUBEBWA NA HISTORIA KWA MAN CITY …Roma v Barcelona, Juventus v Real Madrid, Sevilla v Bayern




Manchester City na Liverpool  zitaumana kwenye robo fainali ya Champions League.
Vilabu hivyo viwili vya Premier League vilikuwa vya mwisho kuibuliwa kwenye ‘chungu’ cha kupangia ratiba (draw) ya robo fainali ambapo sasa vijogoo viwili – Jurgen Klopp na Pep Guardiola vitakutana uso kwa uso mwezi ujao katika vita ya kusaka tiketi ya nusu fainali.
Mechi ya kwanza itachezwa Anfield April  4 huku City ikitwaa nafasi ya kuwa mwenyeji katika mechi ya marudiano wiki moja baadae.
Timu hizo mbili zimeshakutana mara mbili msimu huu katika Premier League huku kila moja ikifaidi ushindi mara moja.
City iliiangamiza Liverpool nyumbani mwezi Septemba kwa ushindi wa 5-0, lakini kikosi cha Klopp nacho kikaibuka na ushindi wa 4-3 katika mechi ya marudiani iliyochezwa Anfield mwezi Januari.
Kama historia ina faida yoyote katika soka, basi Liverpool itakuwa kwenye nafasi nzuri ya kwena mechi ya marudiano ikiwa na matokeo mazuri.
City haijawahi kushinda Anfied tangu Mei 2003 – rekodi  ambayo Guardiola atahitaji kuivunja.
Robo fainali nyingine itazikutanisha Sevilla na Bayern Munich, Juventus na Real Madrid, Barcelona na Roma
Ratiba ya robo fainali iko kama hivi:

3 April: Sevilla v Bayern, Juventus v Real Madrid
4 April: Barcelona v Roma, Liverpool v Man. City


Mechi za marudiano:
10 April: Roma v Barcelona, Man. City v Liverpool
11 April: Bayern v Sevilla, Real Madrid v Juventus

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...