Skip to main content

Miguna Atakiwa Kuomba Tena Uraia Wa Kenya


Taarifa kutoka Idara ya uhamiaji nchini Kenya zinasema idara hiyo imemtumia fomu mwanasheria na mwanaharakati wa vuguvugu la NRM nchini Kenya Miguna Miguna ili azijaze kuomba tena uraia wa Kenya na kumuwezesha kuingia tena nchini humo.
Miguna ambaye alipambana na kuishinda Serikali katika jaribio lao la kutaka kumrejesha tena nchini Canada kupitia Dubai usiku wa kuamkia leo ambapo mwenyewe amesisitiza kuwa ni raia wa Kenya na haitaji kusalimisha nyaraka zake za kusafiri ili zipigwe muhuri.
Hata hivyo kaimu mkurugenzi wa idara ya uhamiaji nchini Kenya Joseph Munywoki amesisitiza kuwa mwanaharakati huyo alipoteza haki ya kuwa raia wa nchi hiyo mwaka 1998 wakati alipokuwa rasmi raia wa Canada na wakati huo nchi ya Kenya ilikuwa hairuhusu uraia wa nchi mbili.
Baada ya Miguna Miguna kuleta taharuki kwenye uwanaja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta na hata kuvutana mashati na maofisa wa idara ya uhamiaji na kugoma kuingia kwenye ndege aliyotaiwa kusafiri nayo kwenda Dubai, idara ya uhamiaji iliamua kumuachia na kumpa fomu hizo.
“Ili kuruhusu Miguna kupata tena uraia wake, idara ya uhamiaji imemtumia fo,mu maalumu azijaze kuomba tena kwa utaratibu,” imesema taarifa ya uhamiaji.
Munywoki ambaye anakaimu ukurugenzi wa idara ya uhamiaji, amesema ili Miguna aruhusiwe kuingia nchini humo kama raia wa Kenya ni lazima ajaze fomu hizo upya kuomba kuwa raia wa Kenya.
Mkurugenzi huyo amesema hata hivyo mpaka sasa mwanaharakati huyo wa NASA hajajaza fomu hizo.
Ameongeza kuwa Miguna aligoma kutoa nyaraka zake za kusafiria kwaajili ya ukaguzi na kupigwa muhuru kama sheria inavyotaka pamoja na zile sheria za kimataifa.
Mwanasheria huyo aliwasili nchini Kenya akitokea Canada maajira ya 2.30 kwa saa za Afrika Mashariki akiwa amepanda ndege ya shirika la Emirates.
Wizara ya mambo ya ndani imesema kuwa katika kutekeleza maagizo ya mahakama walimuomba miguna awasilishe nyaraka zake alizotumia kusafiria ili aruhusiwe kuingia nchini humo lakini hakufanya hivyo.
Idara ya uhamiaji nchini Kenya mwezi mmoja uliopita ilimfurusha nchini humo Miguna kwa kile ilichodai anatishia usalama wa taifa na kwamba sio raia wa Kenya baada ya kuukana.
Tangu kumalizika kwa uchaguzi wa marudio mwezi Octoba mwaka jana, Miguna amekuwa akiongoza harakati za vuguvugu la Nasa akipinga ushindi wa rais Uhuru Kenyatta ambapo amekuwa mkosoaji mkubwa wa Serikali na hata kutishia kuchoma picha za rais
.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...