Skip to main content

MSUVA APIGA BAO PEKEE AS VITA YAFA 1-0


Na Mwandishi Wetu, CASABLANCA

BAO pekee la winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva usiku wa jana limeipa Difaa Hassan El Jadida ushindi wa 1-0 dhidi ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika.
Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan, Msuva mchezaji wa zamani wa Yanga ya Dar es Salaam alifunga bao hilo dakika ya nane, ambalo linakuwa la nne kwake katika michuano hiyo msimu huu, kufuatia kufunga hat-trick katika mchezo wa kwanza dhidi ya Benfica Bissau ya Guinea Bissau.
Simon Msuva (katikati) mbele kabla ya mchezo wa jana katika kikosi cha Difaa Hassan El Jadida

Baada ya kazi yake nzuri jana, Msuva alipumzishwa dakika ya 77 akimpisha Bilal El Magri.
Sasa Difaa Hassan Jadida watatakiwa kwenda kuulinda ushindi wao huo mwembamba kwenye mchezo wa marudiano mjini Kinshasa siku 10 zijazo.
Mechi nyingine za kwanza za Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika jana; Gor Mahia ya Kenya ililazimishwa sare ya 0-0 na Etoile du Sahel ya Tunisia, Zanaco ya Zambia ilifungwa 2-1 nyumbani na Mbabane Swallows ya Swaziland, ZESCO United ya Zambia ilifungwa 1-0 na ASEC Mimosas ya Ivory Coast, TP Mazembe ya DRC iliitandika 4-0 Songo, Aduana Stars ya Ghana iliilaza 1-0 ES Setif ya Algeria, Togo Port ya Togo ilishinda 2-0 dhidi ya Al Hilal Omdurman ya Sudan, 1st de Agosto ya Angola ilishinda 1-0 dhidi ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini MFM iliilaza 2-1 MC Alger ya Algeria, Rayon Sports ililazimishwa sare ya 0-0 na Mamelodi Sundowns, wakati mchezo kati ya mabingwa wa Afrika, Wydad Casablanca na  WAC haukufanyika jana.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...