Skip to main content

MSUVA APIGA BAO PEKEE AS VITA YAFA 1-0


Na Mwandishi Wetu, CASABLANCA

BAO pekee la winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva usiku wa jana limeipa Difaa Hassan El Jadida ushindi wa 1-0 dhidi ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika.
Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan, Msuva mchezaji wa zamani wa Yanga ya Dar es Salaam alifunga bao hilo dakika ya nane, ambalo linakuwa la nne kwake katika michuano hiyo msimu huu, kufuatia kufunga hat-trick katika mchezo wa kwanza dhidi ya Benfica Bissau ya Guinea Bissau.
Simon Msuva (katikati) mbele kabla ya mchezo wa jana katika kikosi cha Difaa Hassan El Jadida

Baada ya kazi yake nzuri jana, Msuva alipumzishwa dakika ya 77 akimpisha Bilal El Magri.
Sasa Difaa Hassan Jadida watatakiwa kwenda kuulinda ushindi wao huo mwembamba kwenye mchezo wa marudiano mjini Kinshasa siku 10 zijazo.
Mechi nyingine za kwanza za Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika jana; Gor Mahia ya Kenya ililazimishwa sare ya 0-0 na Etoile du Sahel ya Tunisia, Zanaco ya Zambia ilifungwa 2-1 nyumbani na Mbabane Swallows ya Swaziland, ZESCO United ya Zambia ilifungwa 1-0 na ASEC Mimosas ya Ivory Coast, TP Mazembe ya DRC iliitandika 4-0 Songo, Aduana Stars ya Ghana iliilaza 1-0 ES Setif ya Algeria, Togo Port ya Togo ilishinda 2-0 dhidi ya Al Hilal Omdurman ya Sudan, 1st de Agosto ya Angola ilishinda 1-0 dhidi ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini MFM iliilaza 2-1 MC Alger ya Algeria, Rayon Sports ililazimishwa sare ya 0-0 na Mamelodi Sundowns, wakati mchezo kati ya mabingwa wa Afrika, Wydad Casablanca na  WAC haukufanyika jana.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.