FAMOUS Funiture waendeleza malengo yao makubwa waliyonayo katika kukua
kwa uchumi wa viwanda ambapo wamewataka watanzania kutumia bidhaa
bora za la-Z-Boy ambazo zimeboreshwa zaidi kwa muonekanao wa nyumbani.
Hayo yalisemwa na Nabeel Dharse ambaye ni Meneja wa duka hilo wakati wa oktoba 18
mwaka jana wakati wa udhinduzi Mliman City jijini Dar es Salaam.
kwa uchumi wa viwanda ambapo wamewataka watanzania kutumia bidhaa
bora za la-Z-Boy ambazo zimeboreshwa zaidi kwa muonekanao wa nyumbani.
Hayo yalisemwa na Nabeel Dharse ambaye ni Meneja wa duka hilo wakati wa oktoba 18
mwaka jana wakati wa udhinduzi Mliman City jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Sofa za la-Z-Boy kutoka Famous Furniture.
Famous Furniture Limited iliyosajiliwa na namba 135127 ilitambulisha
bidhaa bora za nyumbani Ili kukidhi soko linalokuwa nchini hapa ambapo
hadi sasa limeendelea kuwauzia watanzania bidhaa zao bora katika duka lao
lililopo Mliman City Dar es Salaam .
"Binadamuhutumia muda mwingi wakiwa wamekaa chini,hii ndio sababu ya
wabunifu,watafiti na wataalamu wa afya kuumiza vichwa kutoa bidhaa
zitakazoleta starehe,"alisema Nabeel.
bidhaa bora za nyumbani Ili kukidhi soko linalokuwa nchini hapa ambapo
hadi sasa limeendelea kuwauzia watanzania bidhaa zao bora katika duka lao
lililopo Mliman City Dar es Salaam .
"Binadamuhutumia muda mwingi wakiwa wamekaa chini,hii ndio sababu ya
wabunifu,watafiti na wataalamu wa afya kuumiza vichwa kutoa bidhaa
zitakazoleta starehe,"alisema Nabeel.
Baadhi ya viti vya La-Z-Boy kutoka Famous Furniture.
Mmoja wa wateja walioudhuria ufunguzi akijaribu kulala kwenye godoro la Sealy Posturepedic
Baadhi ya viti vya La-Z-Boy kutoka Famous Furniture.
Mmoja wa wateja walioudhuria ufunguzi akijaribu kulala kwenye godoro
la Sealy Posturepedic.
Licha ya kuwepo kwa duka hilo wanatarajia kufungu maduka mengine
5 maeneo mengine nchini hapa hili kurahisisha upatikanaji wa bidhaa
hizo kwa watanzania.
Aidha kwa upande wake meneja wa Bravo Group Bw.Ryan Beattile ambao ni
wasambazaji wa La-Z-Boy kutoka Famous Furniture aliongeza kuwa starehe
ya mkao sio katika muonekano tu bali ni kuupa starehe mwili sambamba na
mfumo boraegemezi, hasa kama unakaa kwa muda mrefu.Mmoja wa wateja walioudhuria ufunguzi akijaribu kulala kwenye godoro
la Sealy Posturepedic.
Licha ya kuwepo kwa duka hilo wanatarajia kufungu maduka mengine
5 maeneo mengine nchini hapa hili kurahisisha upatikanaji wa bidhaa
hizo kwa watanzania.
Aidha kwa upande wake meneja wa Bravo Group Bw.Ryan Beattile ambao ni
wasambazaji wa La-Z-Boy kutoka Famous Furniture aliongeza kuwa starehe
ya mkao sio katika muonekano tu bali ni kuupa starehe mwili sambamba na

Comments