Skip to main content

VTC MDABULO KIMEKUWA MKOMBOZI KWA WANAFUNZI YATIMA NA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU MKOANI IRINGA

 



Katibu wa mbunge wa jimbo la mufindi kaskazini Baptist Mdende ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye maonyesho hayo akiwa kwenye moja ya mashine zilizopo katika karakana ya uhunzi na uundaji wa vyuma akipata maelezo kutoka kwa wanafunzi ambao wanajifunza kupata ujuzi wa fani hiyo na kuja kulitumikia taifa hili hata kuanzisha viwanda vidogo vidogo au kwenda kufanya kazi kwenye viwanda mbalimbali
Katibu wa mbunge wa jimbo la mufindi kaskazini Baptist Mdende ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye maonyesho hayo akipata maelezo kutoka chumba cha kompyuta ambacho nacho kipo chuoni hapo
 Katibu wa mbunge wa jimbo la mufindi kaskazini Baptist Mdende ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye maonyesho hayo akiwa kwenye chumba cha mapishi ambako wanafunzi wa fani ya upishi huwa wanajifunza kwa vitendo.
  Katibu wa mbunge wa jimbo la mufindi kaskazini Baptist Mdende ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye maonyesho hayo akiwa kwenye karakana ya umeme
 Hii ni karakana ya useremala ambayo pia inawaongezea ujuzi wanafunzi wa fani hiyo ikiwa na vifaa vya kisasa kabisa
 
Na Fredy Mgunda,Iringa.

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Rural Development Organization (RDO) Tanzania kupitia chuo cha ufundi VTC Mdabulo kilichopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa linawasaidia watoto yatima na walio kwenye mazingira magunu kwa kuwapatia elimu ya ufundi bure.

Akizungumza na blog Mkurugenzi mtendaji wa R.D.O Fidelis Filipatali alisema kuwa shirika hilo linawasomesha wanafunzi bure wanatoka katika mazingira magumu na watoto yatima ili kuwapa elimu itakayowakomba katika maisha.

“Lengo letu ni kuhakikisha wanafunzi walioshindwa kuendelea na masomo mengine kwenye vyuo vingine wanapata nafasi katika chuo chetu hiki ambacho kinagharama nafuu na kinatoa elimu bora ya ufundi ambayo inatamsaidia huko mbele kwenye maisha yake” alisema Filipatali

Filipatali alisema kuwa shirika hilo limebeba dhima ya Rural Devolopment Organization (RDO) kwa kutoa ujuzi endelevu kwa jamii ili kuondokana na kuwa tegemezi katika maisha na kuishi kwa kujitegemea kutokana na ujuzi unaopatikana chuoni hapo.

“Chuo cha ufundi stadi cha RDO VTC na shirika kwa ujumla vinanuia kuinua jamii kutoka a hali ya chini kiuchumi na kufikia hali nzuri ya kimaisha na ndio maana tupo huku vijijini ambako ndio kuna wananchi wengi wa hali hiyo” alisema Filipatali

Lakini Filipatali alisema kuwa chuo hicho kimelenga kuwapa ujuzi wa muda mfupi na muda mrefu kwa lengo la kuwasaidia kuendelea kufanya shughuli nyingine za kimaendeleo.

“Tunatoa ujuzi kwa njia tofauti tofauti hivyo tunapoona kuwa wanafunzi wanauwezo wa kujitegemea na wapo tayari kwenda kujitegemea huwa tunawaruhusu ili kupisha nafasi kwa wanafunzi wengine kupata ujuzi wa kiufundi” alisema Filipatali

Filipatali alisema kuwa wanafunzi wawapo chuoni hapo wanajifunza ufundi bomba,kuchomelea,ufugaji wa ng’ombe,upishi,ushonaji,kilimo,elimu ya kompyuta useremala,ufundi chuma ufundi uashi na ufundi umeme.

“Sasa wanafunzi yeyote Yule akitoka hapa katika chuo chetu anaweza kujitegemea kwa kuwa atakuwa ameshapata ujuzi kwa vitendo anaweza kufanyia kazi mahali popote pale atakapo amua kuweka makzi yake” alisema Filipatali

Aidha Filipatali alisema kuwa vijana wanatakiwa kujituma kwa kufanya kazi na kuacha kuwa tegemezi katika jamii.

Naye katibu wa mbunge wa jimbo la mufindi kaskazini Baptist Mdende amewataka wananchi kuwapeleka watoto kupata elimu ya ufundi katika chuo hicho ambacho kinatoa elimu kwa gharama nafuu.

“Haiwezekani kuwa chuo hiki kipo hapa jimboni kwetu lakini wanafunzi wanaosoma hapa wanatoka mbali na kuja kuchukua ujuzi huu wakati sisi wazawa tunawaficha watoto wetu tabia kama hii haikubariki hata kidogo hivyo nawaomba wananchi na viongozi kuhakikisha vijana wetu wanapata elimu ya ufundi katika chuo hiki” alisema Mdende

Mdende alisema kuwa elimu ndio ufunguo wa maisha hivyo aliwashukuru shirika lisilo la kiserikali la Rural Development Organization (RDO) Tanzania kupitia chuo cha ufundi VTC Mdabulo kwa kutoa elimu bure kwa wanafunzi yatima na wanaishi katika mazingira magumu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.