Skip to main content

WIKI YA MAJI KWA MKOA WA DAR ES SALAAM


Wiki ya maji imetajwa  kuwa  inapaswa kuwa ni wiki ya kutatu kero za wananchi amewataka wadau sekta hiyo ya maji kutokaa ofisini na badala yake kwenda kwa wananchi.


Hayo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda  alipokuwaakizungumza na 

wenyeviti wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani pamoja na Wafanyakazi wa Dawasa

walioudhuria  kwenye uzinduzi wa wiki hiyo kwa  mkoa wa Dar es Salaam 

katika mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere hapa jijini.


"Dar es Salaam ni jiji la tatu Afrika kwa ukuwaji  hivyo  mazingira rafiki yanatakiwa yawezeshe kuwa ukubwa ukubwa wake,"alisema Paul Makonda.


Alisema mifumo ya majitaka bado ni tatizo katika jiji hilo na kuagiza wahusika wafanye kazi ya kujituma zaidi.


 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wenyeviti wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani pamoja na Wafanyakazi wa Dawasa ambao wameudhuria  kwenye uzinduzi wa wiki ya maji kwa mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere hapa jijini. 
 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa uzinduzi wa wiki ya maji kwa mkoa wa Dar es Salaam ambapo alisema ni vyema Dawasco wakaongeza usambazaji wa maji katika mkoa huo hili kusaidia ukuaji wa maendeleo ya Viwanda hapa nchini.
 Kaimu Mtendaji Mkuu wa DAWASCO, Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza wakati wakati wa uzinduzi wa wiki ya maji kwa mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika leo.

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala , Edward Mpogolo akizungumza na wadau wa maji waliofika katika uzinduzi wa wiki ya maji kwa mkoa wa Dar es Salaam, pia alieleza mafanikio ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa kipindi cha Miaka Miwili.
 Baadhi wafanyakazi wa Dawasa na DAWASCO waliohudhuria kwenye uzinduzi wa wiki ya maji  kwa mkoa wa Dar es Salaam.
Sehemu ya Wenyeviti wa Serikali ya Mtaa wa  mkoa wa Dar es Salaam waliohudhuria uzinduzi wa Wiki ya Maji kwa Mkoa wa Dar es Salaam

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.