Skip to main content

Soma Twaweza wanavyoendelea kujipambanua zaidi

Wananchi wangependa kuwa huru kukosoa watawala iwapo hawataridhika na maamuzi ya SerikaliHaki miliki ya pichaTWAWEZA
Image captionWananchi wangependa kuwa huru kukosoa watawala iwapo hawataridhika na maamuzi ya Serikali
Idadi kubwa ya wananchi (60%), nchini Tanzania wanasema hawako huru kukosoa kauli zinazotolewa na Rais wakati asilimia 54 wanasema hivyo kuhusu kauli zinazotolewa na Makamu wa Rais na asilimia 51 Waziri Mkuu.
Hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na shirika la utafiti lisilo la serikali, Twaweza.
Wananchi wanajisikia huru zaidi kuwakosoa wabunge wao kuliko wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
Kwa mujibu wa shirika la Twaweza, hali hii inaweza kuwa ni kwa sababu wananchi wanawachagua wabunge kuwa wawakilishi wao na hivyo wanaona kuwa mbunge anajukumu la kusikiliza mahitaji na vipaumbele vyao na kuvifanyia kazi ipasavyo.
Wananchi wanaunga mkono kwa kiasi kikubwa uhuru wa kujieleza na uhuru wa vyombo vya habari. Wananchi nane kati ya kumi (81%) wanaona ukosoaji wa viongozi wa taifa kama jambo muhimu kwani itawasaidia kujirekebisha na si kuwashushia hadhi.
Asilimia 62 ya wananchi wanasema ni bora zaidi kwa magazeti yanayochapisha taarifa zisizo sahihi kuomba radhi na kuchapisha marekebisho kuliko kufungiwa ama kutozwa faini na serikali. Na wananchi wengine (54%) wanasema serikali isiruhusiwe kuyaadhibu magazeti kabla ya kupata kibali kutoka mahakamani.
Utafiti wa TwawezaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionUtafiti wa Twaweza

Uhuru wa kujieleza

Utafiti huu umebaini kuwa wananchi wanaunga mkono kwa kiasi kikubwa uhuru wa kujieleza na uhuru wa vyombo vya habari. Wananchi nane kati ya kumi (81%) wanaona ukosoaji wa viongozi wa taifa kama jambo muhimu kwani itawasaidia kujirekebisha na si kuwashushia hadhi.

Wananchi wengi hawafahamu sheria mpya zinazosimamia masuala ya taarifa

Sheria mbalimbali zinazohusiana na masuala ya taarifa zimetungwa na Bunge katika miaka ya hivi karibuni, ikiwemo Sheria ya Takwimu, Sheria ya Makosa ya Mtandao, Sheria ya Upatikanaji wa Taarifa na Sheria ya Huduma za habari. Hata hivyo, wananchi wachache wanazifahamu sheria hizo.

'Misingi kufuatwa'

Akiwa kwenye uzinduzi wa utafiti huo jijini Dar es salaam, msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dk Hassan Abbas alisema kuwa 'kumkosoa Rais maana yake ametenda jambo ambalo hukubaliani nalo.Lakini kuna misingi ya kufuatwa . Uwe na utafiti, hoja zinzaofaa na lugha unayotumia.'
Hivi karibuni kumekuwa na ukosoaji dhidi ya kinachodaiwa kuwa kuminywa kwa uhuru wa kujieleza,
Tukio linalokumbukwa ni la Mkalimani aliyedaiwa kutafsiri maneno yasiyo sahihi kutoka kwa mmoja wa watalii aliyetembelea hifadhi ya Ngorongoro, ambaye baadae na
mkalimani huyo anayeitwa Simon Sirikwa aliwekwa chini ya ulinzi kutokana kile kilichokuwa kinatafsiriwa kudaiwa kuwa kilikuwa kinapotosha uhalisia wa maneno yaliyokuwa yakizungumzwa na mtalii aliyekuwa akisifia kile alichokiona baada ya kutembelea eneo hilo la utalii.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.