Skip to main content

Soma Twaweza wanavyoendelea kujipambanua zaidi

Wananchi wangependa kuwa huru kukosoa watawala iwapo hawataridhika na maamuzi ya SerikaliHaki miliki ya pichaTWAWEZA
Image captionWananchi wangependa kuwa huru kukosoa watawala iwapo hawataridhika na maamuzi ya Serikali
Idadi kubwa ya wananchi (60%), nchini Tanzania wanasema hawako huru kukosoa kauli zinazotolewa na Rais wakati asilimia 54 wanasema hivyo kuhusu kauli zinazotolewa na Makamu wa Rais na asilimia 51 Waziri Mkuu.
Hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na shirika la utafiti lisilo la serikali, Twaweza.
Wananchi wanajisikia huru zaidi kuwakosoa wabunge wao kuliko wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
Kwa mujibu wa shirika la Twaweza, hali hii inaweza kuwa ni kwa sababu wananchi wanawachagua wabunge kuwa wawakilishi wao na hivyo wanaona kuwa mbunge anajukumu la kusikiliza mahitaji na vipaumbele vyao na kuvifanyia kazi ipasavyo.
Wananchi wanaunga mkono kwa kiasi kikubwa uhuru wa kujieleza na uhuru wa vyombo vya habari. Wananchi nane kati ya kumi (81%) wanaona ukosoaji wa viongozi wa taifa kama jambo muhimu kwani itawasaidia kujirekebisha na si kuwashushia hadhi.
Asilimia 62 ya wananchi wanasema ni bora zaidi kwa magazeti yanayochapisha taarifa zisizo sahihi kuomba radhi na kuchapisha marekebisho kuliko kufungiwa ama kutozwa faini na serikali. Na wananchi wengine (54%) wanasema serikali isiruhusiwe kuyaadhibu magazeti kabla ya kupata kibali kutoka mahakamani.
Utafiti wa TwawezaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionUtafiti wa Twaweza

Uhuru wa kujieleza

Utafiti huu umebaini kuwa wananchi wanaunga mkono kwa kiasi kikubwa uhuru wa kujieleza na uhuru wa vyombo vya habari. Wananchi nane kati ya kumi (81%) wanaona ukosoaji wa viongozi wa taifa kama jambo muhimu kwani itawasaidia kujirekebisha na si kuwashushia hadhi.

Wananchi wengi hawafahamu sheria mpya zinazosimamia masuala ya taarifa

Sheria mbalimbali zinazohusiana na masuala ya taarifa zimetungwa na Bunge katika miaka ya hivi karibuni, ikiwemo Sheria ya Takwimu, Sheria ya Makosa ya Mtandao, Sheria ya Upatikanaji wa Taarifa na Sheria ya Huduma za habari. Hata hivyo, wananchi wachache wanazifahamu sheria hizo.

'Misingi kufuatwa'

Akiwa kwenye uzinduzi wa utafiti huo jijini Dar es salaam, msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dk Hassan Abbas alisema kuwa 'kumkosoa Rais maana yake ametenda jambo ambalo hukubaliani nalo.Lakini kuna misingi ya kufuatwa . Uwe na utafiti, hoja zinzaofaa na lugha unayotumia.'
Hivi karibuni kumekuwa na ukosoaji dhidi ya kinachodaiwa kuwa kuminywa kwa uhuru wa kujieleza,
Tukio linalokumbukwa ni la Mkalimani aliyedaiwa kutafsiri maneno yasiyo sahihi kutoka kwa mmoja wa watalii aliyetembelea hifadhi ya Ngorongoro, ambaye baadae na
mkalimani huyo anayeitwa Simon Sirikwa aliwekwa chini ya ulinzi kutokana kile kilichokuwa kinatafsiriwa kudaiwa kuwa kilikuwa kinapotosha uhalisia wa maneno yaliyokuwa yakizungumzwa na mtalii aliyekuwa akisifia kile alichokiona baada ya kutembelea eneo hilo la utalii.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...