Skip to main content

Haaa soma hapa Rage juu ya mbinu za kuepuka hujuma za waarabu


SIMBA inatarajiwa kuondoka nchini Jumatano ili kuifuata Al Masry nchini kwao, huku ikihitaji ushindi wa aina yoyote katika mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika na habari njema ni kwamba, aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Aden Rage ameamua kujitosa kuanika siri kubwa ya kuweza kupata ushindi ugenini.


Rage enzi akiwa kiongozi mkubwa Msimbazi waliwahi kuing’oa Es Setif ya Algeria, amewaambia Simba wasikubali kuandaliwa kitu chochote na wenyeji wao bali waombe msaada kutoka Ubalozi wa Tanzania uliopo Misri vinginevyo watachemka vibaya.

Simba ililazimishwa sare ya mabao 2-2 na Al Masry kwenye mchezo wa awali jijini Dar es Salaa na hivyo, wanahitaji ushindi wa aina yoyote ili kusonga mbele.

Rage alisema ana mpango wa kuzungumza na viongozi wa Simba ili kuwapa mbinu za ushindi. Pia alisema endapo kutakuwa na umbali wa Km200 kutoka Cairo hadi Port Said utakapochezwa mchezo huo, Simba wana haki ya kugoma kupanda basi na badala yake kupanda ndege kwa mujibu wa kanuni za mashindano hayo.

“Naipenda sana Simba na kama nitakuwepo Dar es Salaam nitakwenda Misri kuwasapoti wachezaji na viongozi kwenye mchezo huo muhimu. Ila kikubwa Simba wasikubali kufanyiwa maandalizi na wenyeji wao. Hapo watafanikiwa kuepuka figisufigisu.

“Nitazungumza na viongozi ili wafanye mawasiliano na Ubalozi wa Tanzania nchini Misri, wawasaidie kufanya maandalizi yote muhimu ikiwemo mapokezi kutoka uwanja wa ndege kwenda hotelini na baadaye kwenda kwenye mchezo huo bila wenyeji kuhusika.

“Pia wasikubali kupanda gari sehemu ambayo ina umbali wa Km200, zikiwa chini ya hapo wanapaswa kupewa usafiri wa basi ambalo halitawachosha hiyo ni sheria kabisa na ipo wazi,” alisema Rage ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Tabora Mjini.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...