Skip to main content

Haaa soma hapa Rage juu ya mbinu za kuepuka hujuma za waarabu


SIMBA inatarajiwa kuondoka nchini Jumatano ili kuifuata Al Masry nchini kwao, huku ikihitaji ushindi wa aina yoyote katika mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika na habari njema ni kwamba, aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Aden Rage ameamua kujitosa kuanika siri kubwa ya kuweza kupata ushindi ugenini.


Rage enzi akiwa kiongozi mkubwa Msimbazi waliwahi kuing’oa Es Setif ya Algeria, amewaambia Simba wasikubali kuandaliwa kitu chochote na wenyeji wao bali waombe msaada kutoka Ubalozi wa Tanzania uliopo Misri vinginevyo watachemka vibaya.

Simba ililazimishwa sare ya mabao 2-2 na Al Masry kwenye mchezo wa awali jijini Dar es Salaa na hivyo, wanahitaji ushindi wa aina yoyote ili kusonga mbele.

Rage alisema ana mpango wa kuzungumza na viongozi wa Simba ili kuwapa mbinu za ushindi. Pia alisema endapo kutakuwa na umbali wa Km200 kutoka Cairo hadi Port Said utakapochezwa mchezo huo, Simba wana haki ya kugoma kupanda basi na badala yake kupanda ndege kwa mujibu wa kanuni za mashindano hayo.

“Naipenda sana Simba na kama nitakuwepo Dar es Salaam nitakwenda Misri kuwasapoti wachezaji na viongozi kwenye mchezo huo muhimu. Ila kikubwa Simba wasikubali kufanyiwa maandalizi na wenyeji wao. Hapo watafanikiwa kuepuka figisufigisu.

“Nitazungumza na viongozi ili wafanye mawasiliano na Ubalozi wa Tanzania nchini Misri, wawasaidie kufanya maandalizi yote muhimu ikiwemo mapokezi kutoka uwanja wa ndege kwenda hotelini na baadaye kwenda kwenye mchezo huo bila wenyeji kuhusika.

“Pia wasikubali kupanda gari sehemu ambayo ina umbali wa Km200, zikiwa chini ya hapo wanapaswa kupewa usafiri wa basi ambalo halitawachosha hiyo ni sheria kabisa na ipo wazi,” alisema Rage ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Tabora Mjini.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.